Wana JF Heshima mbele
Naomba kama mwenye kujua nataka ninunue IPHONE 4 ya ukweli kwa Dola 700. Je anayejua? NAHITAJI HARAKA NIMEPATA KAZI MAJUU NATAKA KWENDA NAYO WAKUU
Jamani nilibahatika kumwona mama Africa pale Muhimbi sasa mwenye DATA maana nilihuzunika sana kumwona maana alikuwa anaumwa na niliweza kuongea nae machache sasa sijui huko Tanzania kwani nilisafiri baada ya wiki mbili tokea nimwone mwezi wa pili kama sikosei tarehe za mwanzoni.
Nilikuwa...
Wakati akiadhimisha miaka 86 ya kuzaliwa wachambuzi wanasema Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ana nia kubaki madarakani mpaka kufa. Source VOA. sasa hii wandugu imekaaje je Tanzania Mh. Rais Jakaya Kikwete akishughulikia Mafisadi tumpe ridhaa mpaka kufa kwake. Maana yeye Mh.Rais Kikwete anaogopa...
Habari wana JF nimepata taarifa muda si mrefu kuwa askari mmoja Inspekta Lucy wa Makao makuu kitengo cha Interpol amegongwa na Gari linalosemekana la mhasibu wa polisi alipokuwa akisubiria gari aende kazini pale barabara ya kilwa karibu na flat mpya za polisi hapa Dar es salaam. Hali ya mgonjwa...
Hii habari niliipata kwenye VOA sasa nashindwa kuelewa kwa nini Tanzania na Kenya zimeingia kwenye Mvutano au wanataka huu ushirikiano ufe kwani Tazania inataka kuuza Pembe za Ndovu nje ya Nchi na huku Kenya ikikataa Tanzania kujihusisha na Biashara hiyo kwani ukiangalia nyuma ya Pazia Kenya...
Habari wana JF nimepigiwa simu na Best yangu analalamika sana kuhusu hizi Blog zinazoitwa za Jamii na sio hii ya www.jamiiforums.com hii inatenda khaki bin khaki ila sasa hizi nyingine blaaa. Jamaa anasema alipost katika blog mojawapo ambayo inajiita ya Jamii kumbe ya Biashara sasa cha kufanya...
Habari wana JF
Naomba kuuliza maana hapa ni kitu cha ajabu nimesoma gazeti la Tanzania Daima askari wanalalamika kuhusu ugawaji wa nyumba je ni sahihi kama mtu kwa wanawake kutoa ngono na kwa wenye nazo kutoa Pesa ili wapate nyumba? hayo magorofa mapya. Naomba wenye Data zaidi ili tuweze...
Habari wana JF mimi nimkuja hapa leo kuwaomba swali kwani nawajua wa kina SHY wanaweza kunisave nilisomaga wanavyo save watu. Laptop yangu ni Toshiba pro. sasa ilikuwa na window XP nikasahau Window Password kwa kulog in nikaiformat kisha nikaweka windo ingine sasa wakati nawasha (switch on)...
Habari ya kazi wana JF napenda kuchukua nafasi hii kuuliza swali mimi huwa nalala saa nne usiku na kuamka saa kumi nambili asubuhi Tatizo langu kila wakati wa kulala uume wangu usimama usiku kucha ikifika asubudi naamka ndio hutulia na ukisimama unasimama mpaka unauma usiku kucha je Hili ni...
Wana JF najitambusha tena kwenu baada ya kutoka kifungoni hapo zamani nilitumia jani kavu sasa unajua tena masuala ya rushwa balaa usiombe sasa nimerudi nimeshinda kesi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.