Ma DC na RC sheria inawaruhusu kuweka ndani masaaki 48, tumie sheria hii ili watu wakati.
Majuzi....Ma DC na RC mnatumia vibaya sheria ya kuwaweka watu ndani bila kuwapeleka mahakamani. Acheni taiba hii😁😁😗😗🙂🙂
Tafuteni tweets zake za early 2016. Huyu ni miongoni wasomi na wafanyabiashara wakubwa walio amini sera za mkulu ni muarobaini wa matatizo yakiwemo ya uuchumi wa nchi yetu. Bila shaka naye pia atakuwa ameanza kuisoma namba
Naona watu mmeanza kumlisha maneno mdomoni mwake. Hajataja jina la mtu yeyote. Jambo la mhimu ni mahakamani na sheria zake...legally hajamsema yeyeote. Mno taja ndio mnaweza kujiweka kwenye matatizo. Nawaza kwa kuandika tu
Nyerere was keeping himself simple in everything , malezi na makuzi kwa watoto wake, mavazi na muonekano wake akiwa madarakani hadi uraiani baada ya kustaafu, hakuwa na matanuzi wala ulafi wa aina yoyote, kila kitu kiliuwa chini yake lkn hakujilimikisha kitu chochote wala kuchikuwa nyumba za...
CHANGAMOTO NI KWA WATOTO AMBAO KWA SASA WATAKUWA ABOVE 16YRS NAWAZAZI WAO WANAPO WAONA WABAYA WAO WAKO NJE YA JELA TULIAMINI KUWA SIYO RAHISI KUWASAMEHE WAUAJI WA AINA HII.. NAOSYLY NI MAJIRANI ZAO
Maendeleo hayana chama sawa kabisa. Lkn vipi kununua madiwani na kurudia uchaguzi badala ya kuwaacha kwenye vyama vyao na udiwani wao huku awaunge mkono huko huko waliko.
Na je mbona wana karubishwa na kuoewa uanachama wa CCM huku yeye na wasaidizi wake wakifurahia kuoata wanachama wapya. Hapo...
Tha ks 2 God, mimi sijawahi sema maneno kama ya kwa kimada na wala sitarajii kusema. Labda bDo sijapata demu wa aina hiiLkn kawaida ni mke wa mtu kumsema vibaya mme wake kwa buzi lake,na hii ndiyo udhaifu mkubwa wa mwanamke
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.