Search results

  1. N

    Ally Mufuruki awatetea IMF, World Bank. Asema Nyerere asitumike vibaya

    Tena waziwazi huku akiwa na matumaini makubw. Siku hizi kagundua kama tumepotea njia. Vivyo hivyo Prof. Shivji
  2. N

    Asante Mungu, hatimaye Mwenyekiti wa CCM, Dr. Magufuli, ameishiwa pumzi, hana pa kushika. Mimi nilijua mapema

    Ma DC na RC sheria inawaruhusu kuweka ndani masaaki 48, tumie sheria hii ili watu wakati. Majuzi....Ma DC na RC mnatumia vibaya sheria ya kuwaweka watu ndani bila kuwapeleka mahakamani. Acheni taiba hii😁😁😗😗🙂🙂
  3. N

    Kiwanda cha sukari Mtibwa kinawanyonya wafanyakazi Watanzania

    Grammar mistake haifanyi kutoeleweka.kwa ujumbe. Ujumbe umeeleweka hata kama.uwasilishaji wake hauvutii
  4. N

    Ali Mufuruki on ITV: Kilimo kwanza kiliishia wapi? Viwanda vya Saruji kupata hasara si ishara nzuri

    Tafuteni tweets zake za early 2016. Huyu ni miongoni wasomi na wafanyabiashara wakubwa walio amini sera za mkulu ni muarobaini wa matatizo yakiwemo ya uuchumi wa nchi yetu. Bila shaka naye pia atakuwa ameanza kuisoma namba
  5. N

    Halima Mdee kuwa macho sana na ujumbe uliouandika twitter

    Naona watu mmeanza kumlisha maneno mdomoni mwake. Hajataja jina la mtu yeyote. Jambo la mhimu ni mahakamani na sheria zake...legally hajamsema yeyeote. Mno taja ndio mnaweza kujiweka kwenye matatizo. Nawaza kwa kuandika tu
  6. N

    Gari za taka kumwaga taka viwanja vya jangwani na kupatikana viwanja vya Trillion 2

    Huwezi fanya land filling/ reclamation kwa kujaza na taka. Hiyo itakuwa special Ilala tu
  7. N

    Yule Bwana hana mix ya humility na Intelligence inayotakiwa kuongoza nchi

    Nyerere was keeping himself simple in everything , malezi na makuzi kwa watoto wake, mavazi na muonekano wake akiwa madarakani hadi uraiani baada ya kustaafu, hakuwa na matanuzi wala ulafi wa aina yoyote, kila kitu kiliuwa chini yake lkn hakujilimikisha kitu chochote wala kuchikuwa nyumba za...
  8. N

    Kingunge: CCM ni chama changu... hakiwezi kuwa kinyume changu!

    LKN HAJAWAHI JIUNGA CHADEMA NA ALISEMA HATAJIUNGA NA CHAMA KINGINE
  9. N

    Kutubu - Ujinga Wetu ni Kaburi Letu

    KAMA ALIAPA KWA BIBLIA NA HAYO YA KAKOBE YAPO KWENYE BIBLIA BASI NAAMINI MAHAKAMA ITAKUBALIANA NA KAKOBE
  10. N

    Nyumba za Mchechu ni Bomu linalo subiriwa kulipuka (Mtazamo wangu)

    Wandugu nauliza HIVI WIZARA YA UJENZI MBONA HATUSIKII UFUKUAJI WA MAKABURI. AU HUKO HAKUNA DALILI YOYOTE YA UFISADI. NAULIZA TU
  11. N

    Kesi ya Babu Seya na wanae - Ukweli ni upi haswa?

    CHANGAMOTO NI KWA WATOTO AMBAO KWA SASA WATAKUWA ABOVE 16YRS NAWAZAZI WAO WANAPO WAONA WABAYA WAO WAKO NJE YA JELA TULIAMINI KUWA SIYO RAHISI KUWASAMEHE WAUAJI WA AINA HII.. NAOSYLY NI MAJIRANI ZAO
  12. N

    Uteuzi wa Dr. W.P.Slaa kuwa Balozi: Rais Magufuli anaendelea kujieleza na kujipambanua kisiasa

    Maendeleo hayana chama sawa kabisa. Lkn vipi kununua madiwani na kurudia uchaguzi badala ya kuwaacha kwenye vyama vyao na udiwani wao huku awaunge mkono huko huko waliko. Na je mbona wana karubishwa na kuoewa uanachama wa CCM huku yeye na wasaidizi wake wakifurahia kuoata wanachama wapya. Hapo...
  13. N

    Ujenzi wa Hospitali ya Rufaa wilaya ya Chato mkoani Geita

    Siyo lazi.a kuchangia kila thread. Waachie wenzako walioelewa waendelee kujadili
  14. N

    Uongo ambao ni lazima udanganywe ukiwa na mahusiano na mme wa mtu (SPONSOR)

    Tha ks 2 God, mimi sijawahi sema maneno kama ya kwa kimada na wala sitarajii kusema. Labda bDo sijapata demu wa aina hiiLkn kawaida ni mke wa mtu kumsema vibaya mme wake kwa buzi lake,na hii ndiyo udhaifu mkubwa wa mwanamke
Back
Top Bottom