Tuache wivu jamani..hahhhahaha
Hivi Kilimanjaro ina watu wangapi kustahili kuwa na shule nyingi za sekondari kama ilivyo sasa?Ma-consultant wote wa serikali, halafu Chato ina watu kiasi gani hadi ijengewe hospitali ya rufaa? Hivi ni vituko na kuchezea pesa za walipa kodi, kuna mikoa na wilaya ambazo hasa zinahitaji na zinastahili kuwa na hospitali ya rufaa..., wabunge wako kimya tu!
Hicho kidispensary mumekomaa, kweli adui ujinga amekimbilia huko, KCMC ipo moshi hata kabla ya uhuru hamsemi,
plus duka la MSDNiambie kijiji gani kingine kimejengewa
Airport
Hospitali ya rufaa
Jengo la TRA ghorofa 7
Traffic lights
Hivi hizo zingine zilizopo zinatokea rufaa za wapi? Mtu akiumwa pale geita rufaa yake ni wapi?Referral? How? For who? Sijaelewa itapokea rufaa za wapi, Geita? Ushirombo au Bihalamuro? I am confused!
Naombeni hatua za kupata uraia wa Kenya au Zambia!
Niliwasikia wabunge wakisema badala ya kujenga uwanja wa ndege Chato ni vyema wangejenga Hospitali kubwa kutibu wananchi. Sasa unajengwa uwanja na Hospitali kubwa lakini watu wanapiga tena mayowe!!Referral tena! Du, basi sawa.
Wapiganaji wa uvccm mbona kimya kutetea? Njooni bwana, sio sawa kuacha Chato inachafuliwa kwenye uzi huku, please come
Bado kuchimba canal hadi Bahari ya hindi ifike chato ili aweke Bandari yule Bishop wa Zanzibar alivyo mfananisha na Mugabe aliona mbali
dawa ni kuombea demokrasis ya kweli , hii ilihitaji mtu mvumilivu, mcha mungu, asiye na hasira etc kinyume na sasa. kwa hiyo ni vizuri kuwa na katiba nzuri tuu kuepukana na hayaEeeh mungu baba tumekukosea nini waja wako?
Hivi anajenga nyumba zake ama ni Kwa ajili ya watanzania ambao wapo maeneo ya huko Kyamyorwa, Buzirayombo, Namirembe, nk?Tundu Lissu alisema Msajili wa Hazina au Katibu Mkuu wizara ya Fedha (sina hakika kati ya hawa) amewekwa mtoto wa dada yake Magufuli makusudi ile asiwe ana question maagizo ya kutoa hela.
Jakay Kikwete alikuwa akitaka mradi usipite kwenye bunge la bajeti alikuwa anamtumia swahiba wake Dr. Dau kuchota fedha NSSF.
Angalau Kikwete alikuwa hajengi kwao, anachota pensheni za wafanyakazi anaenda kuanzisha miradi isiyo na tija. Magufuli is worse off, anachota hela anaenda jenga kwao.
Mkoa wa geita 1.9 mil. PopulationGeita mjini IPO Hospitali ya Rufaa
Hapa tulipofikia JW wangekuwa na akili kama za wenzao wa Zimbabwe ingependeza sana!
Hahahaha huu tunaitajePascal Mayalla njoo uone na hii!!
Mkuu, huu uzi hauna maelezo.
Sasa unataka watu wajadili picha tu?
BAK, tumetoa nafasi kwa mleta uzi aweke maelezo angalau machache ili iweze kujadilika.