Conspiracy theorist
JF-Expert Member
- Oct 24, 2017
- 395
- 310
Hazina ishu kwenye hili,nazijua sanaPitia hii ...
1 balfour declaration
2 Moral and dogma by Albert pike
Hazina ishu kwenye hili,nazijua sanaPitia hii ...
1 balfour declaration
2 Moral and dogma by Albert pike
Taifa la Israel halikuanzishwa mwaka 1948, Bali mwaka huo waisrael walirudishwa kwenye ardhi ya taifa lao ambako walikuweko kwanza kama taifa, kisha wakashambuliwa na kuchukuliwa mateka na kusambazwa kote duniani! Kwa hiyo kilichofanyika mwaka 1948 ni kulikusanya taifa upya na siyo kulianzisha upya. Huo ni ukweli wa kihistoria na kibiblia!Jamaa muongo sana huyu! Taifa lilikuwa created 1947 sasa huo mji mkuu ulikuwepo vipi kwa miaka 3,000!?
Nov. 29, 1947 | U.N. Partitions Palestine, Allowing for Creation of Israel
Achana na historia hiyo wewe,
Taifa la Israel halikuanzishwa mwaka 1948, Bali mwaka huo waisrael walirudishwa kwenye ardhi ya taifa lao ambako walikuweko kwanza kama taifa, kisha wakashambuliwa na kuchukuliwa mateka na kusambazwa kote duniani! Kwa hiyo kilichofanyika mwaka 1948 ni kulikusanya taifa upya na siyo kulianzisha upya. Huo ni ukweli wa kihistoria na kibiblia!
hilo agano la kale haliko kwe biblia?
Jamaa muongo sana huyu! Taifa lilikuwa created 1947 sasa huo mji mkuu ulikuwepo vipi kwa miaka 3,000!?
Nov. 29, 1947 | U.N. Partitions Palestine, Allowing for Creation of Israel
Waisrael dini yao ya asili ni uyahudi, din ya yesu na kitabu chao ni torati, yesu kristo myahudi wafuasi wake wanaitwa wakristo na kitabu chao ni biblia yenye vitabu vya torati na injili. Vitabu vimejaaIsrael wana dini tatu.....uyahudi, ukristo, na uislamu.....dini ya uyahudi ambayo Netanyahu ni muumini wake hawaitambui biblia wana kitabu chao kitakatifu wanachokiamini kinaitwa TANAKA, wana Mungu wao anaitwa EL SHADAI na nabii wao anaitwa YAHUDHA.....Kutokana na jina la nabii wao yahudha ndio wakajiita wayahudi, yaani wafuasi wa yahudha....Yesu hawamtambui na kwenye kitabu chao hayupo!
Jamaa muongo sana huyu! Taifa lilikuwa created 1947 sasa huo mji mkuu ulikuwepo vipi kwa miaka 3,000!?
Nov. 29, 1947 | U.N. Partitions Palestine, Allowing for Creation of Israel
Wanajifanya tuu hawajui lakini wanajua kila kitu,ni tamaa imewajaa ya kungangania hata kitu kisicho chao.Historia ya Israel imeandikwa kwenye Biblia! Waarabu wanafikiri historia imeanzia 1947!
TRUMP wakati anautambua mji wa Jerusalem juzi alisema hivi nanukuu...ISRAEL PEOPLE HAVE BUILT A COUNTRY WHERE PEOLPLE OF THREE RELIGION JEWS, CHRISTIAN AND MUSLIM ARE FREE TO LIVE AND WORSHIP.........hapo anamaanisha Israel kuna dini tatu Uyahudi, Ukristo na Uislam........muwe mnasoma hata kidogo jamani Uyahudi ni dini haihusiani na ukristo!Waisrael dini yao ya asili ni uyahudi, din ya yesu na kitabu chao ni torati, yesu kristo myahudi wafuasi wake wanaitwa wakristo na kitabu chao ni biblia yenye vitabu vya torati na injili. Vitabu vimejaa
Historia tangu uuambaji wa dunia na vizaz vyake maisha ya waisrael tangu ibrahim, isaka,yakobo(israel) musa, mfalme daud hadi nyakat za yesu kristo. Ndani yake kuna sheria na maagano mbalimbal ya mungu na israel.
Asili ya jina wayahudi linatokana na yuda Mtoto wa yakobo kati yawatoto 12 ambazo ndio kabika 12 za wana waisrael
Kabila pekee lilokuwa limesalia.
TanzaniaHivi ni nchi gani yenye reserve kubwa ya mafuta zaidi ya USA?
Unafikiri Israel ni sawa na UKAWA!?Jamaa muongo sana huyu! Taifa lilikuwa created 1947 sasa huo mji mkuu ulikuwepo vipi kwa miaka 3,000!?
Nov. 29, 1947 | U.N. Partitions Palestine, Allowing for Creation of Israel