sheiza
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 7,564
- 11,478
Huwezi kumuongelea kingunge katika jambo nililozungumza bila kumgusa lowasa..maana lowasa ni kingunge na kingunge ni lowasa..labda kama hujapendezwa wewe..kisha we nani hata unizuie kuongea?? Nyie si kila siku mnaandaa programs mara UKUTA mkiwa na lengo la kutafuta demokrasia ya kuongea chochote au??Maana hapo sikuona connection ya kumuingiza lowassa kwenye historia ya kingunge kwa ufupi haikuwa necessary