The Businessman
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 7,404
- 9,234
Ukiwa na humility kubwa na intelligence kubwa hiyo ni best mix(Nyerere)
Ukiwa na humility kubwa na intelligence ya wastani , unaweza kusaidiwa kuongoza nchi.(Mwinyi)
Ukiwa huna humility na una Intelligence kubwa unaweza kuendesha nchi .(Mkapa)
Ukiwa na humility ya wastani na Intelligence ya wastani pia unaweza kusaidiwa kuongoza nchi. (Kikwete)
Ukiwa huna humility wala Intelligence tena uko Conceited, hata kusaidiwa kuendesha nchi ni kazi nzito sana, maana utawatukana mpaka wanaokusaidia kuendesha nchi kwa kujiona wewe ni zaidi wakati huna lolote.
From Al-Watan
Ukiwa na humility kubwa na intelligence ya wastani , unaweza kusaidiwa kuongoza nchi.(Mwinyi)
Ukiwa huna humility na una Intelligence kubwa unaweza kuendesha nchi .(Mkapa)
Ukiwa na humility ya wastani na Intelligence ya wastani pia unaweza kusaidiwa kuongoza nchi. (Kikwete)
Ukiwa huna humility wala Intelligence tena uko Conceited, hata kusaidiwa kuendesha nchi ni kazi nzito sana, maana utawatukana mpaka wanaokusaidia kuendesha nchi kwa kujiona wewe ni zaidi wakati huna lolote.
From Al-Watan