Bus la kampuni ya Happy Nation lilikua linatokea Dar kwenda Mbeya lenye namba T 618 BDN limepata ajali eneo la Mikumi mpaka sasa chanzo sahihi hakijajulikana.
Idadi ya waliopoteza maisha ni wawili ambao mimi nimewaona ila majeruhi ni wengi na mpaka naondoka hapa basi lilikua limeshainuliwa na...
Kupitia mitandao kadhaa ya kijamii na uthibitisho wa picha kupitia account ya IG ya bwana harusi Petit man wakuache imethibitika kuwa wawili wamefunga ndoa siku ya leo.
Esma Platnum ambae ni dada wa msanii wa Bongo fleva Nassib Abdul a.k.a Diamond Platnumz.
InshaAllah Mungu awabariki kwenye...
Habari zenu wana jamvi.!
Nina simu tajwa hapo juu ina tatizo la kukataa kuongeza salio kwa njia ya kawaida na maanisha *104* inakubali tu kwa njia ya sauti,na pia haiwezi kuonyesha salio kwa njia ya sms ni kwa njia ya sauti tu.
Hii ndio sms inayokuja nikiuliza salio "The process...
The hit maker wa "Heart attack" na RnB super star Trey Songs bado anasumbua kwenye social networks kuhusiana na ishu yake ya kua shoga.
Kupitia ukurasa wake wa tweeter aliwahi ku-confess kua yeye ni shoga.
Ila baada ya muda aliifuta tweet hii baada ya kupata comments nyingi na idadi ya walio...
Kama heading ilivyo hapo budget yangu ni 400000 Tshs iwe iko poa haina tatizo i dont care much about brand names except mchina wa ajabu mfn landrover etc.
PM ukiwa tayari kwa kuuza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.