McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,388
- 7,551
hapo ni walimu watatu darasa lakwanza mpaka la saba, kila darasa lina mkondo ABC, kila chumba cha darasa kuanzia la nne mpaka la saba kina watoto 89. darasa la kwanza mpaka la tatu kila chumba wapo 120. kuanzia darasa la nne mpaka la saba katika kila chumba cha darasa kuna madawati 10 tu, darasa la kwanza mpaka la nne kila chumba kina dawati moja kwaajili ya mwalimu.Hilo darasa lina watoto wangapi?...pongezi kwa walimu wote..