McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,388
- 7,551
Bus la kampuni ya Happy Nation lilikua linatokea Dar kwenda Mbeya lenye namba T 618 BDN limepata ajali eneo la Mikumi mpaka sasa chanzo sahihi hakijajulikana.
Idadi ya waliopoteza maisha ni wawili ambao mimi nimewaona ila majeruhi ni wengi na mpaka naondoka hapa basi lilikua limeshainuliwa na majeruhi wamekimbizwa hospitali.
Idadi ya waliopoteza maisha ni wawili ambao mimi nimewaona ila majeruhi ni wengi na mpaka naondoka hapa basi lilikua limeshainuliwa na majeruhi wamekimbizwa hospitali.