Vodacom naomba msaada jinsi ya kuongea na mhudumu wenu kwa njia ya simu ukipiga 100.
Mbona maongezi ni mengi na hayadirect kuongea na mhudumu kama unahitaji?
Cha pili nahitaji maelekezo ya kutumia Mpesa master card.
TANESCO .Nilitoa lalamiko langu hapa miezi miwili imepita.Tatizo langu limetatuliwa nusu na bado kukamilika.Nini tatizo.?Mbona muda wa kutatua unakuwa mrefu sana?Details zote niliwatumia PM.
Naomba mnisaidie kuwafatilia hawa Tanesco Mbagala.Tumelipia nguzo toka March lakini mpaka leo ni kalenda za kuwekewa umeme.Mwezi wa tisa wameleta nguzo na wamezibwaga chini.baada ya mwezi wamekuja kuzisimamisha lakini mpaka sasa hawataki kuunganisha umeme.Tatizo hasa ni nini?Mbona mnafanya kazi...
Kuuliza uliza sana history sometimes sio fresh.Kama mnapendana ukishajua wapenzi wake wa zamani then what?Na hapo kwenye pesa,mwanaume usiogope ku take care ...Shikamoo Mtambuzi
Ukimtumaini mwanadamu utapata shida sana.Wote ambao hamjapata Upendo wa baba/mama au hamjalelewa nao kwa sababu yoyote mfanyeni Mungu kuwa Baba/Mama na maumivu yote yataisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.