Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,894
- 155,916
- Thread starter
- #141
Niko hapa Matembwe nikitoka naenda MahongoliKwanza nenda Njombe ukashinde kutwa na vest
Niko hapa Matembwe nikitoka naenda MahongoliKwanza nenda Njombe ukashinde kutwa na vest
Hiyo ni 9; Halafu 10 nenda Makete pale Bulongwa au pale Iwawa.Niko hapa Matembwe nikitoka naenda Mahongoli
Aiseee huko ni pakwenda kupambana tu,maana kaanza kuua wanawake na watoto wasio na hatia.
Umewaona hao unaosema hawana hatia?👇Ss wamebeba za nini?Aiseee huko ni pakwenda kupambana tu,maana kaanza kuua wanawake na watoto wasio na hatia.
😂😂😂😂Si mmewatwanga ljamani!mnataka wafanyaje?...ila vHiyo ni 9; Halafu 10 nenda Makete pale Bulongwa au pale Iwawa.
Umewaona hao unaosema hawana hatia?
View attachment 2133978
Serikali ya Ukraine iliwaelekeza Wazee, Kinamama na Watoto wakae ndani watulie wakati ngoma inachezwa huko nje.Lakini,kama ilivyokuwa kwa Lutu na Mkewe, wanawake hao wametoka nje eti kuona kinachoendelea. Ni Viherehere.😂😂😂😂Si mmewatwanga ljamani!mnataka wafanyaje?...ila v
Nipo nasikiliza zaidi kuliko kuongea.Kila kitu huwa kinaanzia rohoni.Mwanadamu mwenyewe ni mwili,roho na nafsi.Hii sio vita vya kiroho, ni vita vya upanga kwa upanga. Sijakusikia siku nyingi mpendwa wangu Zion Daughter
Vyombo vya habari vya kipropaganda
Hawa wa ukraine wanahis wako kwenye war games.. kwel ulimwengu umebadilikaHatua ya kwanza….
View attachment 2131841
Hawa wajiandae kubeba mimba za warusi. Labda urusi isifanikuwe kuchukua nchi.Hiyo ni 9; Halafu 10 nenda Makete pale Bulongwa au pale Iwawa.
Umewaona hao unaosema hawana hatia?👇Ss wamebeba za nini?
View attachment 2133978
Wamesahau ya Japani dhidi ya America. USA iliwaonya wajapani wajisalimishe wakawa wabishi, liliposhushwa Mama ya BOM hiroshima na Nagasaki ndio wakaweka silaha chini.Hawa wa ukraine wanahis wako kwenye war games.. kwel ulimwengu umebadilika
Nigerian slang naisikia hapo.
Ndo maana wengine walisema: Siasa ni mchezo MchafuWamesahau ya Japani dhidi ya America. USA iliwaonya wajapani wajisalimishe wakawa wabishi, liliposhushwa Mama ya BOM hiroshima na Nagasaki ndio wakaweka silaha chini.
Putini ni mwehu akiona wanakuwa wabishi atawageuza majivu.Mambo ya kupambania nchi ni propagnda za viongozi wakati kumetulia hawataki hata mmiliki silaha ila kukinuka wanagawa bunduki kama njugu.
Mambo inaendelea kunoga: