Sitaki kusikia hayo mambo ya Collins kupokwa Iqra..........imetosha Sana Iqra kuteseka kiasi hiki.....aachwe apumzike.Lara endeleza Collins ajamuowa bado
Kuachwa uko veeepeSitaki kusikia hayo mambo ya Collins kupokwa Iqra..........imetosha Sana Iqra kuteseka kiasi hiki.....aachwe apumzike.
ni sawa ila ile last statement ya walter you cant handle the truth lazma tujue mwisho wa wake.... nweis inshalah kheri lets wait itokee part II Tujuze tu wakat ukifikaInshaalah tukijaliwa heri, ikija PART 2 ITAKUWA YA WATOTO SASA KINA ETHAN, MTOTO WA CARINA, WATOTO WA MUDDY, MTOTO WA COLLINS. Hivo yani ila sio utatu wa Iqra, Collins na Walter.
Hapo umesema ukweli kabisa.namkata spidi huyo kiazi si unajua tena.......akionyeshwa ukarimu kwa malaiki hakawii kugongea kimaukweli kweliii.
Ofcoz mwenyewe nimeloa nasikilizia hisani tu hapa sasa tukiwa wengi makelele sholi ataona tunazingua tu au tunampanga dizaini za walter, si unaona dem mwenyewe mjanja anastukia manyuzi. game anajua so humpigi saundi kilaini lazima ukaze
I know na siyo hulka yangu, ila this one ilikuwa kama mwandishi ananijibu dukuduku languthis is not fair.. why quoting story ndefu hivi. inaboa.
Na hunipati ng'oo ulinzi mkali huku nilikofichwa ni zaidi ya fahadAhsante, ila ndio ujue nakutafuta mithili ya Collins na Iqra, uko Somalia, UK, Kenya au Uganda?