Wanandoa hii hali imewahikukukuta?

Nmecheka kama fala aseee!!
Yaani unijazie chakula ninenepe nife? Ndio maana majitu yakioa yananenepa kama kitimoto mwisho wa siku sukari na presha halafu nguvu za kiume zinakuishia unachapiwa ndoa inavunjika. Kula kwa kiasi na ule chakula kilicho balance diet zote.

Mie najipakulia mwenyewe na nakula chakula kidogo, matunda kwa wingi na mboga mboga. Huyo mkeo hana elimu ya lishe bora
 
Ndoa zina mengi.

Mimi nimeoa huu mwaka wa 5 na tuna mtoto mmoja. Tatizo: Mke wangu akinitengea chakula anataka nimalize chote hata nikishiba. Nikibakisha tu nyumbani hapakaliki, ataanza kulia usiku kucha na maneno mara kwahiyo mimi sijui kupika, mara mbona mgahawani huwa hubakishi na maneno mengi.

Tatizo mimi si mlaji sana, na nilisha mweleza awe ananitengea kidogo ili nikimaliza aniongezee lakini wapi, huwa anajaza sahani yangu mpaka nasema hiii bagosha huu mlima kilimanjaro nitauweza kweli? Siku zingine najikaza namaliza kwa mbinde ili kuzuia vita lakini sometimes nashindwa.

Sijajua tatizo ni nini, nikibakisha tu naye anazira kula, anaondoka dining namkuta chumbani analia.

Wakuu hili tatizo umewahi kukumbana nalo? ulisovuje?
Mke wako utakuwa MJITA si bure.
 
Ndoa zina mengi.

Mimi nimeoa huu mwaka wa 5 na tuna mtoto mmoja. Tatizo: Mke wangu akinitengea chakula anataka nimalize chote hata nikishiba. Nikibakisha tu nyumbani hapakaliki, ataanza kulia usiku kucha na maneno mara kwahiyo mimi sijui kupika, mara mbona mgahawani huwa hubakishi na maneno mengi.

Tatizo mimi si mlaji sana, na nilisha mweleza awe ananitengea kidogo ili nikimaliza aniongezee lakini wapi, huwa anajaza sahani yangu mpaka nasema hiii bagosha huu mlima kilimanjaro nitauweza kweli? Siku zingine najikaza namaliza kwa mbinde ili kuzuia vita lakini sometimes nashindwa.

Sijajua tatizo ni nini, nikibakisha tu naye anazira kula, anaondoka dining namkuta chumbani analia.

Wakuu hili tatizo umewahi kukumbana nalo? ulisovuje?
Haya ndo madhara ya kutoka kibaruani na kwenda home moja kwa moja. Sisi walume tukitoka kuwajibika breki ya kwanza bar ... tunapiga ugimbi wa kutosha Tukirudi home tuko bwii, wife kashalala... akijishaua akaamka umamnenea kwa lugha, mwenyewe anarudi kitandani kiroho safi kabisa

Asubuhi anasemezana na kiporo chake wakati wewe ushaelekea kwa mkoloni kutafuta ngawira
 
Umeshaharibu hali ya hewa tayari. Wafipa na Waha ile ni habari nyingine kabisaaaa.....wanakupa chakula kingi, ndani wamechanganya na matunguli yao, unakula mpaka unazirai, usiku wanakubeba kwenda kukutumikisha kuona kama unajuwa kazi ili wakusifie mkwe ni mchapakazi. Unashangaa ulipewa chakula kula ukiwa msafi, unaamka baada ya kuzirai uko mchafu na nguo zote hazitamaniki.
Kha!kha!, Mimi Wakwe zangu sio wanga ni Wacha Mungu Sana.
 
Ndoa zina mengi.

Mimi nimeoa huu mwaka wa 5 na tuna mtoto mmoja. Tatizo: Mke wangu akinitengea chakula anataka nimalize chote hata nikishiba. Nikibakisha tu nyumbani hapakaliki, ataanza kulia usiku kucha na maneno mara kwahiyo mimi sijui kupika, mara mbona mgahawani huwa hubakishi na maneno mengi

Tatizo mimi si mlaji sana, na nilisha mweleza awe ananitengea kidogo ili nikimaliza aniongezee lakini wapi, huwa anajaza sahani yangu mpaka nasema hiii bagosha huu mlima kilimanjaro nitauweza kweli? Siku zingine najikaza namaliza kwa mbinde ili kuzuia vita lakini sometimes nashindwa.

Sijajua tatizo ni nini, nikibakisha tu naye anazira kula, anaondoka dining namkuta chumbani analia.

Wakuu hili tatizo umewahi kukumbana nalo? ulisovuje?
Siku nyeginee ukimuona mkewako anaanza kukupakulia. Mpigie mwana Jf wa karibu nawe aje akusaidie..
 
Dah...mi mke wangu hajawahi kunipikia wala kunipakulia abadan asilani kudadadeki!!!! kilakitu napata toka kwa beki tatu....hapa sina ushauri wowote...kumbe kuna watu mnapakuliwa? kha hongereni
 
Dah...mi mke wangu hajawahi kunipikia wala kunipakulia abadan asilani kudadadeki!!!! kilakitu napata toka kwa beki tatu....hapa sina ushauri wowote...kumbe kuna watu mnapakuliwa? kha hongereni
Unahitaji pole nyingi.
 
Mchukue mkeo mpeleke kwa nutritionist

Ajifunze kuhusu umuhimu wa nutritional content kwenye chakula sio kula tu

Akipata mtaalam wa kumpiga shule itakusaidia wewe na watoto wako

Mjini tunaishi kwa kuangalia manufaa ya hicho unachokula kwenye mwili wako (protein kwa sana starch kwa mbali), tunakula maharage na side ya wali kidogo sio wali na side ya maharage kidogo.
 
Aah,mi mwenyewe nataka nkimpikia mme wangu ale sana sema ndo hvo so mlaji kiivo ko simaindi sana,sikia sasa emu jaribu hii apakue chakula mle wote afu ule taratbu na story kibao mpaka yeye anashiba nadhan na wewe utakuwa unashiba na pengine anaweza akawah yeye kushiba hyo itapunguza kero,ila inaonekana unakula haraka haraka ndo maana unawah kushiba
 
Aah,mi mwenyewe nataka nkimpikia mme wangu ale sana sema ndo hvo so mlaji kiivo ko simaindi sana,sikia sasa emu jaribu hii apakue chakula mle wote afu ule taratbu na story kibao mpaka yeye anashiba nadhan na wewe utakuwa unashiba na pengine anaweza akawah yeye kushiba hyo itapunguza kero,ila inaonekana unakula haraka haraka ndo maana unawah kushiba
Bonge la ushauri. asante, ntafanya hivyo japo amekasirika kweli kweli
 
Mkeo anatakiwa alete ndugu zake waishi hapo wale ambao wanakula kama nguruwe bila aibu, ukileta usharobaro unalala njaa hata kama ww ni baba.
 
Mkuu iyo ni kawaida sana...mimi nina mwaka na... Hakuna kitu wake wanapenda kama sifa. Mume akishiba anajisikia vizuri sana,usiposhiba anahisi umekula sehemu au hujapenda chakula chake. Pia mume akiwa na afya mke anasifiwa anajua kulisha na kutunza anaepuka maneno toka kwa mawifi au mama mkwe.

Tena mpende sana mkeo mana anakujali,kuna wake wengine akitenga chakula yuko chumbani anachat,kula usile utajua mwenyewe.
Itoshe tu kusema ANAKUJALI.
Mhh hapana.Hizo sifa zitakuja kuwa cost.Ulaji wa kupitiliza nao sio afya ni magonjwa
 
Huyu haumpigi mashine vizuri kitandani, dawa yake akianza kukuletea hayo mapozi unavuta chumbani unampa mchezo mtamu balaa utaona anapunguza ghubu.
 
Back
Top Bottom