Omerta
JF-Expert Member
- Jan 3, 2016
- 5,809
- 7,156
Ha ha ha kama Dai kwa Zari SiyoInaitwa buy one get 2 free........
Ha ha ha kama Dai kwa Zari SiyoInaitwa buy one get 2 free........
Asante kwa ushauri mkuuHapa tunashauri watu wenye shida, matatizo, nuksi NA SIYO WENYE BARAKA KAMA HIZI.... MWAMBIE AKATOE SADAKA KANISANI
Ndo kingine kinachomuumiza bro nadhaniKhaaaaa! Makubwa! Yaani hataki anataka wenzie wamsomeshee??
For that case mbona ni shida ss!!mwanamke wake angekuwa Hajaolewa ningeshauri amrudie tuNdo kingine kinachomuumiza bro nadhani
Asante mkuu kwa ushauriMwambie aendelee kuchapa mzigo. Angeambiwa ana ukimwi je ? Hao ni watoto na si mbwa aacha habari hizo bana.stress nyingine za kujitakia.
Hii comment imenibariki sana.Asante sana Mkuu ubaraikiweHili jambo my bro pia lilimtokea ilikuwa mpaka imefika wiki 2 kabla ya harusi ndio aligundua mkewe ana watoto 3 na alikuwa anaishi na mwanaume kama mumewe uko mkoani
My bro alichanganyikiwa lakini mwishowe akakubali na maisha yanaendelea na wameshazaa mtoto wao
Huyo wifi yako alifanya jambo sahihi kabisa kulingana na mazingira ,maongezi na mitazamo ya kaka yako kwa kipindi kile walichokutana mimi naona hana kosa na amsamehe tu maisha yaendelee coz inawezekana angemwambia ukweli wasingekuwa pamoja
Kumuacha sio suluhisho sbb nae tayari anawatoto wanne kwa wanawake tofauti, NAE NI TATIZO hivyo amkanye awe mkweli maisha yaendelee, wote hao ni majipu hakuna mwenye nafuu, mashine kaikubali aendelee nayo BORA HUYO MWENYE WATOTO NA ANAMPENDA, ATAHANGAIKA ATAKUTANA NA MWENYE MARADHIYaani kumuacha ni issue.Kila mahali anajulikana kama mke hadi church wanawauliza mbona hamfungi ndoa?
Hao watoto wa kaka yako nao wanaishi wapi?Mmoja huyo alietambulishwa anaishi nao huyo wa Primary.Ila hao wa Secondary wanaishi kwa ndugu wa baba yao.Wote wanasoma wapo boarding.
Hahahaa.. nimeipenda iyo promotion...Inaitwa buy one get 2 free........
Kosa la mwanamke ni kudanganya kuhusu idadi ya watoto. Lakini kama wewe mwenyewe umekiri kuwa huyo wifi ana tabia njema na kupendwa na familia iweje kugundulika idadi kamili ilete dosari leo? Hao watoto watatu walikuwepo kabla ya nyinyi kujua na mlimkubali sasa leo isiwe kigezo cha kumtia dosari mtu ambae wote mmempenda. Mwenye maamuzi ya mwisho ni kaka yako maana yeye ndie anaeishi na huyo mwanamke na kama hakugundua tofauti yeyote mpaka alipoambiwa basi inamaanisha hakuna sababu ya kuweka tofauti sasa.Heshima kwenu wakuu,
Nina kaka yangu ana mke na huyu wifi yangu ni mke mzuri kwa kweli kila mtu wa familia anampenda ikiwemo mimi binafsi kutokana na tabia zake njema na zisizokera.Kaka yangu huyu wakati anatafuta mke alitamani apate mke mwenye mtoto anagalau mmoja kwasababu yeye ana watoto watatu tayari.
Issue hapa ni kwamba wakati anafahamiana na wifi yangu huyu.Waliulizana habari za watoto wifi akasema anae mtoto mmoja.(Na kaka aliamini kitokana na wifi alivyo decent)Walipoanza kuishi pamoja miaka 2 imepita now na wifi akajifungua mtoto mwingine wa kaka.
Sasa kupitia ndugu zake ndo kaka amegundua kuwa wifi ana watoto 3 na sio mmoja kama alivyosema awali.Kumuuliza mkewe kasema ni kweli ila alishindwa kusema mwanzo kwasababu aliogopa kuachwa.Hao watoto 2 wakubwa wa Sekondari.Na huyu anaeishi nae ni wa shule ya msingi.
Wote wanaishi Dar.
Kaka anashindwa afanyeje ameniomba nimshauri kabla hajaweka wazi kwa wanafamilia wengine.Nimemwambia hii kwangu ni mpya nikamuomba nipost JamiiForums amekubali.Yeye sio member humu ila ushauri atasoma.
Kwa wenye uzoefu hii issue imekaeje ushauri wenu ni muhimu sana.