Mkuu kuhusu usalama umewaza?Hivi kwenye simu yako umeweka 1bilioni utakuwa na amani?
Hela ikiwa kwenye simu hainatofauti sana kuwa mfukoni.Unaweza weka hiyo 1 bilioni mfukoni utakosa amani tu.
Hongera kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Hasa Rais wetu mpendwa kwa kupokea Wanafunzi wa Udaktari toka nchini Sudan.
Ikumbukwe nchi ya Sudan ipo katika vita vya wenyewe kwa wenyenye. Mungu akawape utulivu, wepesi na waendelee vema na masomo yao katika Chuo cha Kikuu cha tiba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.