Habari zenu wanasiasa.
mwenzenu leo nimekuta mkutano wa ccm! jamani wanatia huruma ati! huku mazimbu, Morogoro kulikuwa na mkutano wa ccm kama walikuwa wengi basi walikuwa watu 50! na kijani zao! lo, kweli kimechokwa hiki chama!
chakushangaza zaidi nilipokuwa kwenye daladala, kila mtu akaanza...
habari zenu wanajamvi,
kweli, natamani sana kuwa na mwanaume mwema, mwenye upendo wa kweli, anaejali, na mwenye utu. lakini kulingana na hali halisi ya wakati huu, mawazo hayo ni hadithi. kumpata mwanaume wa staili niitakayo inakuwa ni bahati ya kuzaliwa.
hivyo nimeamua kutazama kama vile...
habari zenu wanajamvi. naombeni msaada wenu, nina mdogo wangu kamaliza cozi ya secretary bado hajapata ajira, mwenye kazi hata ya stationary jamani, hata kama rafiki yako anayo, nisaidien tafadhali.
natanguliza shukrani.
habari wadau, mimi ni msichana mwenye sura mbaya kadiri ya maoni ya wengi, umbo baya, lakini roho ya ukatili sina na ni mcheshi, kugombana na mtu sijui. nataka rafiki wa kiume awe na umri miaka 36-40. karibuni wanaume kwa bintimbaya.
kipato changu kwa shughul mbalimbali sh.800,000 kwa mwezi, mapato kutoka PERFECT APPLICATION au PERFECT INTERNET sh.5,000,000/ kwa mwezi, na inategemea bidii katika kufuata maelekezo, inaweza kuwa zaidi ya hapo.
naomba msinielewe vibaya, nilikuwa nikiwaomba sana watu wajiunge na PERFECT...
je unajua kwamba unaweza kutengeneza mshiko kimtindo? yaani wewe pamoja na rafiki zako, rafiki zako na rafiki zao.... na kuendelea mnaweza kutengeneza kipato kizuri bila kutegemea. bonyeza hapa http://www.perfectapp.biz/refid=95462b893a
habari zenu wapenz, natumaini mko poa.
naombeni mwenye kujua yanapouzwa mafuta ya mbegu za mawese, nahitaji kuwasiliana na muuzaji kama unauza au una rafiki yako anauza, nipm tuongee biashara. au hata kama unajua yanapouzwa tafadhali nielekeze
Mimi ni msichana bado sijaolewa, kabla sijasema kama natafuta mchumba au la, naomba kuuliza kama kuna aliyewahi kupata mwenzi humu na wapo wanaishia vizuri.
msaada wenu wandugu, huyu kaka tulisoma wote o-level hakuwai kusema chochote, baadae tumepotezana kwa miaka mingi, tulivoonana tena, akawa kama amechanganyikiwa kuniona, haamini. cha kwanza aliniuliza kama nimeolewa, nikamjibu bado, akasema "HATIMAYE NIMEMPATA MWANAMKE WA NDOTO ZANGU"...
nawashukuru wote mlionipigia simu kwa ajili ya kupata sabuni nzuri yenye povu, na wale mnaoishi Dar itawafikieni msiwe na wasiwasi. nipo kwenye mchakato. KARIBUNI SANA
hata mimi kabla ya kufanya kazi hii, nilihangaika sana kama wewe, kakini sasa hivi nipo naenjoy maisha. karibu nawewe ujiunge pamoja namimi. sio uongo, ni biashara ya uhakika kwenye internet.
ingia hapa upate maelekezo zaidi.
http://www.perfectapp.biz/refid=95462b893a
Habari wapendwa, ni ukweli, ni uhakika na ni muhimu. mimi mwenyewe nimefaidika na nataka na wewe ufaidike kama mimi. ebu bonyeza hapa na utaona faida yake
we ingia utakuja kunambia!
http://www.perfectapp.biz/refid=95462b893a
Habari wana jf, ninauza sabuni za mche kwa bei poa, ni nzuri, nyeupe na ina povu jingi hata kwa maji yenye chumvi kama ya Dar es salaam na sehemu nyinginezo.
nauza jumla na lejaleja. kama unataka nitafute hapa 0784989245 nipo Morogoro. Hakika ukiitumia utanitafuta tena. ni tofauti na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.