Habari zenu wanasiasa.
mwenzenu leo nimekuta mkutano wa ccm! jamani wanatia huruma ati! huku mazimbu, Morogoro kulikuwa na mkutano wa ccm kama walikuwa wengi basi walikuwa watu 50! na kijani zao! lo, kweli kimechokwa hiki chama!
chakushangaza zaidi nilipokuwa kwenye daladala, kila mtu akaanza kuwacheka na kusema aliloweza! nilichojiuliza ni kwamba, ndani ya daladala ina maana watu wote walikuwa ni wa upinzani?
tena mama mmoja akasema, nanukuu "kabla sijawajua ccm nilisema sitakuja kukiacha hiki chama, baada ya kuwajua, loo! sina hamu nao" akasema tena kwamba anatamani hata huo mkutano usingepata watu kabisa.
mmm!! yangu macho 2015, kimbembe!
mwenzenu leo nimekuta mkutano wa ccm! jamani wanatia huruma ati! huku mazimbu, Morogoro kulikuwa na mkutano wa ccm kama walikuwa wengi basi walikuwa watu 50! na kijani zao! lo, kweli kimechokwa hiki chama!
chakushangaza zaidi nilipokuwa kwenye daladala, kila mtu akaanza kuwacheka na kusema aliloweza! nilichojiuliza ni kwamba, ndani ya daladala ina maana watu wote walikuwa ni wa upinzani?
tena mama mmoja akasema, nanukuu "kabla sijawajua ccm nilisema sitakuja kukiacha hiki chama, baada ya kuwajua, loo! sina hamu nao" akasema tena kwamba anatamani hata huo mkutano usingepata watu kabisa.
mmm!! yangu macho 2015, kimbembe!