Habari wanajamvi, hili swala limekuwa likinifikirsha kwa muda sasa. Imekuwaje katika kupanga makundi ya ligi ya klabu bingwa Afrika(CAFCL), timu mbili za kutoka Tunisia kupangwa kundi moja? Katika kundi C kuna Etoile du Sahel na Esperance de Tunis.
Je inawezekana kuna msimu Yanga na Simba...
Hilo neno moja halina kosa ila namna maneno yalivyotumika, makosa ni mengi mno katika hiyo barua.
Kama wewe pia hujaona hayo makosa huna akili kama mleta mada na elimu kama unayo haijakusaidia kitu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.