Napenda kuchukua nafasi hii kukutakia heri ya kuzaliwa.Mungu akupe maisha marefu ya furaha na yenye baraka tele,
Furahia siku yako ya leo kwa upendo na amani! Tupo na wewe pamoja! Mungu akuzidishie busara zaidi!
Hii ni kwa wale wapwa na mabinamu hasa hasa Teamo, Finest, Asprin, Keizer, Roya roy, Bigirita, G-Y etc ....pale mnapotoka kwenye infii wakati mnawai home....
60 km/h - "It is well with my soul"
80 km/h - "God will take care of you"
100 km/h - "Guide me oh great Jehovah"
120...
Mgonjwa mmoja mahututi alikuwa
hawezi kuongea na kuwekewa oxgen.
Akawa anaombewa na Mchungaji.
Akiwa anaombewa, yule mgonjwa
akachukua kalamu na karatasi,
Akaandika na akampa yule Mchungaji. Ambaye
badala ya kuisoma ile karatasi, akaitia kwenye
mfuko wa joho na kuendelea na maombi hadi...
Al Qaeda is laying deadly "booby traps" by equipping its famale suicide bombers with explosinve breast implants that are impossible to be detected at airport security check points. the British intellegence agency M15 has claimed. The lethal explosives called PETN are inserted inside plastic...
VIPIMO vya kimaabara vya wanasayansi nchini Marekani vimebaini kuwa ndizi zina virutubisho maalumu viitwavyo BanLec ambavyo viko sawa na aina mbili za dawa zinazotumika katika kuzuia kuenea kwa virusi vya ukimwi.
Wanasayansi hao wamesema wanaamini virutubisho hivyo vya BanLec ni muhimu na...
December 23rd ~ January 1st = Red
January 2nd ~ January 11th = Orange
January 12th ~ January 24th = Yellow
January 25th ~ February 3rd = Pink
February 4th ~ February 8th = Blue
February 9th ~ February 18th = Green
February 19th ~ February 28th = Brown
March 1st ~ March 10th...
Nimeikuta kwa Jide.blogspot
Raia wamegoma kutoa misaada kwa omba omba baada ya ile story ya manyoya ilioenea jijini Dar es salaam.
Sasa watoto wanalala barabarani kama hivi, ishara ya kwa njaa kali.
Imani zingine bwana, mi naona tuwasaidie tu.
Salaam!
Kuna kipengele katika sheria ya ndoa kinachosema kua pindi ndoa inapovunjika Mtoto atakaa kwa mama yake mpaka afikishe miaka saba then baba anaweza kumchukua!! Sasa kuna rafiki yangu mmoja ana experience hii kitu so kwa maoni yake anasema hii sheria inabidi ibadilishwe kwani unakuta mtu...
Wakuu Kuna ishu moja inanitatiza...Tumekua tukisikia watu mbalimbali Wakitanguliza Jina la Cheo kabla ya Majina yao....kama vile Balozi, Dr., Prof..sasa nauliza tuna viongozi wengi wamepitia Ualimu lakini mpaka leo ni Mwalimu Nyerere pekee ndio alipenda kuitwa kwa kutanguliza jina la Mwl...Sasa...
Wakuu heshima mbele!! Kuuliza si ujinga!! Naomba kujuzwa jinsi ya Ku quote post za watu zaidi ya mmoja pale unapotaka ku reply post!! nimeona kuna wataalamu hapa waki quote watu zaidi ya mmoja na ku reply post!! maana kuna wakati nakua na interest ya ku quote wachangiaji zaidi ya mmoja then ni...
Wakuu heshima mbele!!
Katika mazungumzo ya hapa na pale kuna jamaa yangu mmoja aliniambia water therapy ni njia nzuri sana ya kumaliza magonjwa mengi mwilini..Aliniambia kua kila asubuhi kabla hujala chochote kunywa maji glass sita. hii inasaidia sana kuondoa matatizo mojawapo likiwa la...
Wanajamvini naombeni msaada kwa yoyote anayejua jinsi ya kudownload picha kutoka kwenye blackberry pearl kwenda kwenye PC. maana nikijaribu picture zinakuja na REM extension so zinashindwa kufunguka. Nipeni utaalamu wa kubadili kutoka REM kwenda JPG format
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.