Nimeendesha gari kwa miaka kadhaa sasa lakini sijawahi kubahatika kukutana na gari la wagonjwa likiwa sheli, ni mimi tu au kuna aliyewahi kuona Ambulance ikiwa sheli?
Mahakama nchini Korea Kusini imemhukumu bilionea anayetarajiwa kurithi kampuni Samsung Lee Jae-yong kifungo cha miaka mitano jela kwa makosa ya utoaji rushwa.
Bw Lee alikuwa ameshtakiwa kuhusika katika rushwa katika kashfa ambayo pia ilichangia kuondolewa madarakani kwa rais wa zamani wa Korea...
wakuu naomba mwenye kujua jinsi ya kureset password kwenye wi-fi router ya vodafone anisaidie nimeinunua kwa mtu (teja) na iko protected msaada kama naweza kutengeneza new password
- The Needle
lyrics
I am not a qualified physician
And I donât want to give this
injection
I am not a qualified physician
And I donât want to give this
injection
Dorothy is begging for trouble
She insist I should give her this
needle
But, darling, one thing I want you
know...
jamaa mmoja alienda kwa mama muuza gongo(pombe)
alivyofika aliagiza chupa tatu za pombe hio akazibugia zote na kuondoka
kesho yake tena alirudi akaagiza chupa tatu tena akazifakamia harakaharaka kisha akaondoka
siku nyingne alifka na kuagza tena yule mama muuzaji akamuuliza kwa nn kila siku...
wadau naombeni msaada kwani ni wiki zaidi ya pili sasa sipati hzo channel na nimekua nikifanya automatic search hua inaningizia chanel ambazo zimeandikwa PROGRAM
natanguliza shukran
Habari wanaJF,
Nimekuwa na utata ambao nimekosa majibu ya kuridhisha. Nimekuwa Nikishuhudia watu wengi kuhusisha baadhi ya matukio yanayowatokea na Mungu, kwa mfano mtu anaweza akapata ajali, kutokufanikiwa kwenye mambo yake, magonjwa, kifo nk. imekuwa kawaida watu kusema ni mpango wa Mungu...
wana Jf nimechaguliwa kujiunga kidato cha tano shule ya lyamungo PCB naomba kama kuna mwenye joining instructions hata ya mwaka jana aniandikie vitu muhimu +ada na michango mingine
jamani hivi hawa jamaa wanaosubiri post nikutokuelewa au? kila siku ndani ya jukwaa unakuta new thread zaidi ya 5 ambazo zinaulizia post zinatoka lini hivi mnaona raha sana kupost au ni ulimbukeni tayari kuna thread ambazo zimetolewa ufafanuzi lakini cha kushangaza mtu anabadilisha tu headline...
Serikali imetoa tamko bungeni kuhusu mauaji ya raia mikononi mwa polisi ikieleza kuwa sheria ya kanuni ya adhabu inaruhusu kutumia nguvu za kadiri hata kiasi cha kusababisha madhara au kifo.
Kauli hiyo imekuja siku chache baada ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kunukuliwa bungeni akiwataka polisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.