Scanner imegoma wakanambia haraka haraka pita kulia kuja kuangalia ime expire time!!!-Je pesa ya ticket ambayo time ime expire na ambayo haikubali kwenye scanner je inaingia mfuko gani!!???
Unaenda kwenye ofisi zao na kuwaambia nataka line ya 4G, unajaza form ya kupotelewa line ili ukose ushahidi wa kuwashitaki.
Ati wanajidai kuwa wao wana database ambayo inatambua simu zinazokubali 4g yao. Nahisi Sio kweli!!
Menejimenti ya TTCL yashtakiwa kwa Magufuli
Mara zote wanaonena vema ndio wanaangamia!! Poleni sana jana niliwaona ITV.Hapo ndio utaelewa kwa nini Makame Mbarawa alitolewa wizara ya maji na kurudishwa mawasiliano.Magufuli linda kampuni ya simu ya Taifa ili isiingie mikononi mwa wachache.Kuna...
Nimeipata sasa hivi kutoka radio kwizera! Kuna mchungaji amemwaga live kuwa kwa vile yeye ni mchungaji alikataa kupokea rushwa hiyo akajitoa ccm.katibu kaongea kuwa ni posho ya kawaida toka makao makuu chama hutoa posho siku ya kuamkia uchaguzi mkuu! source Radio kwizera matukio
Miezi miwili matukio mawili kifo kimoja!!!
Jana alasiri muuza nafaka za jumla Mabibo Mwisho kavamiwa na kuuawa na majambazi mita 100 kutoka kituo cha polisi Mabibo Mwisho.
Disemba, duka la jumla mita 5 toka kituo cha polisi Mabibo Mwisho lilivamiwa mida ya jioni na kuondoka na kiasi kikubwa...
Unstable data network! No access to internet while the package is paid for! Data signal change within the fraction of second… Mara E, mda kidogo 3G, hujakaa sawa H dakika haijaisha H+. Mmh inarudi tena E!
Najuta kujiunga na tigo! Great thinkers, ni mtandao gani ambao hapa Dar uko vizuri?
Sijaona taasisi yoyote ya kiserikali na isiyo ya kiserikali kunisaidia! Hata taasisi za umoja wa mataifa na kidini zote kimya! ina maana mie nimetenda dhambi kubwa! Umaskini wangu kujenga mabondeni sijawahi pata mafuriko wala tatizo lolote leo umebomoa nyumba yangu nitaishi vipi!? Tunaomba...
Hakika ametoa mahubiri(homilia) nzito sana muda mfupi uliopita. Ndio maana hata ujio wa Yesu waliopewa habari njema walikuwa wachungaji maskini!.Kwenye siasa watu wanaaminishwa kuwa wanaoweza mabadiliko ni matajiri!
Dar na mabadiliko ya kweli
Mkoani Dar es Salaam, Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu...
Boda ikitokea maziwa imegonga gari Ipsum mbaya dereva na abiria wake hoi bin taaban.
Inasikitisha nusu saa boda wameshindwa kupata usafiri kwenda hospital!
UKAWA lazima walinde kura zao kwa sababu hata kwenye kura za maoni za Magamba katika majimbo mbalimbali yalikamatwa masanduku ya kura yakiwa tayari yamepigiwa kura kabisa.
Ninalokumbuka ni Musoma!Kama Magamba wenyewe waliweza kufanya ufisadi wa kuibiana kura kwa kufungana magori ya mkono sasa...
Nilimsikiliza kwa makini sana msanii wa sinema aliyemsapoti Lowassa baadae akahamia kwa Magufuli huku jamii nzima ikitamka wazi kuwa kapewa mamilioni ya pesa wakati anajitetea na kutoa mfano wa wasanii wa marekani walivyomuunga mkono Obama.
Napenda kumwambia kuwa wasanii wote waliomuunga mkono...
Namshukuru Mungu kuniwezesha kutambua ni kwanini magazeti haya sasa hivi yanamchafua sana Lowassa.
Hii ni hali ileile iliyompa ulaji Salva na Salva sasa ni mtu mwingine tofauti na mwandishi wa habari. Salim alichafuliwa vilivyo mpaka mukulu tukamuita chaguo la Mungu.
Kwa taarifa yenu...
Please advice me accodingly nimepata majanga makubwa wiki hii Kwanza nilikunywa serengeti ambayo ime-expire tangu feb Pili nikanunua maq soap ambayo expire date haijulikani ukianzia mbele wala ukianzia nyua kusoma na mbaya zaidi wakanipa securex soap kama kumi ambazo zote zime-expire!!!!
Tatu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.