Bomoa bomoa hakuna wa kunisaidia

Milindi

JF-Expert Member
Mar 3, 2009
1,468
751
Sijaona taasisi yoyote ya kiserikali na isiyo ya kiserikali kunisaidia! Hata taasisi za umoja wa mataifa na kidini zote kimya! ina maana mie nimetenda dhambi kubwa! Umaskini wangu kujenga mabondeni sijawahi pata mafuriko wala tatizo lolote leo umebomoa nyumba yangu nitaishi vipi!? Tunaomba msaada badala ya uingereza na makonda kujenga maegesho tujengeeni gorofa wote tutatosha ! Mchechu NHC jenga nyumba kwa ajili yangu maskini utaheshimika zaidi!
 
misaada yao ya sifa haoo.wanapotoa wanataka kusifiwa.sasa nyie watengwa.wakitoa watawasifu akina naniii?wanasubir maafa.kura yako ulimpa nani vileeeee
 
Sijajuta kutoa kura yangu kwa ukawa! angalau kuna jirani zangu bado tinga2 magu halijatua kwa zuio la mahakama liliongozwa na mbunge wangu!
 
kama sheria imekuja 2004 vp nyumba zilizojengwa 1990 wakati sheria haijatungwaj je wanamakosa?
 
Back
Top Bottom