How will u know sasa ana mapenzi ya dhat, kwa style hii utaumia kila siku, just find ua type mwenye vgezo unavyotaka am sure atakupa mapnz ya dhat cz huwa hayatolewi kwa mdomo tu its inside 1s heart, so b crful friend just advice, bt i can b ua friend 0656997909 chek me through ths no
raha ya mapenzi ni pale wawili wanapoelewana na karaha ya mapenzi ndio kama hio yako, kuna msemo wanasema wagombanao ndio wapatanao lkn ni tofauti kwako, unapata jibu gani hapo? jibu ni kwamba misemo mengine ni ya kujifariji tu na sio ya kukubadilisha toka sehemu A kwenda B ni kama watu...
Tusilumbane sana jmn hii nchi yote yetu kwny ukweli semeni kwny uongo semeni lkn kuonana kwamba huyu ndio mzuri huyu hafai haisaidii, tubadilike tublame kwa kiasi na tukumbuke pia kusifia pale mtu anapofanya kizuri sio lawama tu
Ec dvt is as a result of peoples life ie living standard(is it good or bad) the matter o whether its bad or good depends with employments or hard working of people themselves, how do they collaborate in mainraining their lifes which will lead to ec dvt? The diffuculties we Tanzanians get is that...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.