Hivi hawa wasichana wa kazi wana nini?

Chemwali

JF-Expert Member
Apr 5, 2011
397
178
Yaani sometimes inabidi tu tuwahurumie nahisi uelewa wao hauko sawa..kuna msichana nilimpeleka kwa mama yangu..akakaa nao karibu miaka 3 akiwa huru(jumapili the entire day anaruhusiwa kwenda kushinda kanisani-as according to yeye aliokoka) sasa nadhani sometimea uhuru unapowazia kuna tatizo..akaanza mara kununa ohvyo wakati mwingine bila sababu,tho ni mchapa kazi kwakweli..au akienda churc anazidi kuchelewa mmh...ghafla siku hiyo kaamka akamwambia mama ..kesho naomba niende..mama akamwambia ok but anipigie mimi kwanza..nikamuuliza vipi kuna tatizo akasema hapana bali tu amepata kazi kwengine-Buguruni(hope wanamlipa juu zaidi) nikamwambia fine..u may go hata leo,nikatoa baraka zote.sasa cha ajabu tangu aondoke huu ni mwezi wa pili...simu,msg kila mara..za ooh nimewamiss..sometimes najibu,zikinichosha nazichunia..jana ndo kaanza anaomba hata elfu 5..amechacha mno,maisha ni magumu..jamani sasa nimweleweje huyu?kwanini aliondoka kama hakuwa na uhakika na anakoenda?huwa kinawapata nini hawa wasichana?
 
Utaumiza kichwa chako buree,kwa ufupi utaratibu wa kuwa na wasichana wa kazi mimi nilishaufuta maishani mwangu,wengi wao no mabomu yanayosubiri kulipuka,ama ni sawa na kuwa na mageti saba ilhali mwizi yupo ndani mwako...ha ha ha I hate housegirl even houseboys!!Mwenye macho haambiwi tazama!
 
Yaani sometimes inabidi tu tuwahurumie nahisi uelewa wao hauko sawa..kuna msichana nilimpeleka kwa mama yangu..akakaa nao karibu miaka 3 akiwa huru(jumapili the entire day anaruhusiwa kwenda kushinda kanisani-as according to yeye aliokoka) sasa nadhani sometimea uhuru unapowazia kuna tatizo..akaanza mara kununa ohvyo wakati mwingine bila sababu,tho ni mchapa kazi kwakweli..au akienda churc anazidi kuchelewa mmh...ghafla siku hiyo kaamka akamwambia mama ..kesho naomba niende..mama akamwambia ok but anipigie mimi kwanza..nikamuuliza vipi kuna tatizo akasema hapana bali tu amepata kazi kwengine-Buguruni(hope wanamlipa juu zaidi) nikamwambia fine..u may go hata leo,nikatoa baraka zote.sasa cha ajabu tangu aondoke huu ni mwezi wa pili...simu,msg kila mara..za ooh nimewamiss..sometimes najibu,zikinichosha nazichunia..jana ndo kaanza anaomba hata elfu 5..amechacha mno,maisha ni magumu..jamani sasa nimweleweje huyu?kwanini aliondoka kama hakuwa na uhakika na anakoenda?huwa kinawapata nini hawa wasichana?

Hizi habari mbaya juu ya Dada wasaidizi mostly huwa zinatoka kwa wanawake!!...Hawa watu jamani inategemea mnawatoa wapi na exposure yao ikoje, na nyie pia mnaishi vipi katika jamii inayokuzungukeni. Kama wewe mwenye nyumba una muda wa kupiga majungu na watu, au watu waliokuzunguka ni watu wa majungu na wambea utegemee House Girl wako watamdanganya tu, na kwa vile mara nyingi umemtoa kijijini au elimu hakuna basi ujue atalaghaika kirahisi!! Huyo wako alivyoanza kununa ujue tayari alishalishwa maneno, alivyoacha kazi labda walishamtafutia kazi kwa shoga wao mwingine ambako alikuta mambo magumu kuliko alikotoka!! Wengine wanakuwa waelewa sana (labda na mazingira nayo yanasaidia), namfahamu dada mmoja alikuwa akifanya kazi kwa Uncle wangu toka alivyokuwa mdogo, alifanya kazi vizuri mno, aliishi pale kama ndugu na ni wachache walifahamu ni house girl, alipelekwa veta akasoma, baadaye alipata mchumba na kuolewa na Uncle alisimamia kama mzazi, mpaka leo yule Dada ni Ndugu!
Utakuwa hauwatendei haki kuwajumuisha wote katika UBOVU mkuu!
 
Tatizo mnawaona wasichana wa kazi kama watu wa dhiki sana
kwani wana tofauti gani na hao watoto wenu?

Kama una mapenzi mema mpe,
kama hauna mwambie hautaki tena communication.

Nimekosa kitufe cha "like" Mama, maneno yako ni ya kweli! Kama mtu kakuomba elfu tano ni chaguo lako kumpa au kumnyima! Na kama kuondoka kwake kumekujengea chuki ni heri umwambie kuwa hautaki mawasiliano naye. mtu yeyote huombewa heri aendako, mengine ni matokeo tu! Yeye alikuwa na imani kabisa kuwa huko aendako kutakuwa bora kuliko hapo!
 
Hizi habari mbaya juu ya Dada wasaidizi mostly huwa zinatoka kwa wanawake!!...Hawa watu jamani inategemea mnawatoa wapi na exposure yao ikoje, na nyie pia mnaishi vipi katika jamii inayokuzungukeni. Kama wewe mwenye nyumba una muda wa kupiga majungu na watu, au watu waliokuzunguka ni watu wa majungu na wambea utegemee House Girl wako watamdanganya tu, na kwa vile mara nyingi umemtoa kijijini au elimu hakuna basi ujue atalaghaika kirahisi!! Huyo wako alivyoanza kununa ujue tayari alishalishwa maneno, alivyoacha kazi labda walishamtafutia kazi kwa shoga wao mwingine ambako alikuta mambo magumu kuliko alikotoka!! Wengine wanakuwa waelewa sana (labda na mazingira nayo yanasaidia), namfahamu dada mmoja alikuwa akifanya kazi kwa Uncle wangu toka alivyokuwa mdogo, alifanya kazi vizuri mno, aliishi pale kama ndugu na ni wachache walifahamu ni house girl, alipelekwa veta akasoma, baadaye alipata mchumba na kuolewa na Uncle alisimamia kama mzazi, mpaka leo yule Dada ni Ndugu!
Utakuwa hauwatendei haki kuwajumuisha wote katika UBOVU mkuu!
Nadhani ktk wasichana mia utapata mmoja tu aina hiyo, tena miaka zaidi ya mitano iliyo pita. Waliobaki ni mcharuko
 
Tena kama alikaa miaka 3 mshukuru MUNGu, wengine kwa kipindi cha miaka 3 wankuwa wamebadilisha kama 7-10
 
tena kasema mwenye kuwa alikaa na mama yake miaka kadhaa
na mtoko wake ni church only,
kweli ubinadamu ni kazi.

Nimekosa kitufe cha "like" Mama, maneno yako ni ya kweli! Kama mtu kakuomba elfu tano ni chaguo lako kumpa au kumnyima! Na kama kuondoka kwake kumekujengea chuki ni heri umwambie kuwa hautaki mawasiliano naye. mtu yeyote huombewa heri aendako, mengine ni matokeo tu! Yeye alikuwa na imani kabisa kuwa huko aendako kutakuwa bora kuliko hapo!
 
Tatizo mnawaona wasichana wa kazi kama watu wa dhiki sana
kwani wana tofauti gani na hao watoto wenu?

Kama una mapenzi mema mpe,
kama hauna mwambie hautaki tena communication.
Sijaona popote alipodharauliwa huyo yaya, swali alilouliza ni kwa nini aliacha kazi na kusema analipwa vizuri alafu leo anaomba hela na kusema amechacha?? Angetuliua kazini angechacha???


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Kama ulikaa naye miaka 3 na hakuwa na tabia mbovu, mrudishe hapo nyumbani aendelee na mzigo. Kilichomponza ni huko kanisani kwa walokole wenzake akaingizwa choo cha ME! SMS zake na mengineyo ni dalili za kujuta, hivyo msamehe arudi zizini (ni ushauri tu, siyo lazima uzingatie kama vigezo na masharti hayakufuatwa)
 
Kama ulikaa naye miaka 3 na hakuwa na tabia mbovu, mrudishe hapo nyumbani aendelee na mzigo. Kilichomponza ni huko kanisani kwa walokole wenzake akaingizwa choo cha ME! SMS zake na mengineyo ni dalili za kujuta, hivyo msamehe arudi zizini (ni ushauri tu, siyo lazima uzingatie kama vigezo na masharti hayakufuatwa)

Sometimes una akili thou sometimes......(jokes) usemayo ni kweli, mi nilikaa na mmoja kwa mwaka na miezi minne akadai amechoka anaomba kurudi kwao, wife akampeleka mpaka kwao wazazi wake walisikitika sana maana tuliishi nao vizuri sana na wakatuahidi kutuletea binti mwingine akipatikana bahati tukampata wenyewe lakini hakukaa akaondoka, tukabadili kama wanne hivi ndani ya mwaka na nusu mpaka yule baba ametuletea mdogo wa yule binti wa kwanza ndio anamaliza mwezi wa nane sasa ametulia tu, yule wa kwanza kapata mume msanii kamuoa na kumzalisha harakaharaka kumbe alikuwa na mke mwingine walikorofishana tu kwa sasa kamrudia maisha yamekuwa ya mateso kwa kale kabinti kamekonda mno mpaka mida mingine tunalazimika kumtumia mshahara wa mdogo wake kwa ruhusa yake au tunatoa zetu ili asogeze siku. Kwa hiyo kama mna nafasi mrudisheni tu,
 
Utaumiza kichwa chako buree,kwa ufupi utaratibu wa kuwa na wasichana wa kazi mimi nilishaufuta maishani mwangu,wengi wao no mabomu yanayosubiri kulipuka,ama ni sawa na kuwa na mageti saba ilhali mwizi yupo ndani mwako...ha ha ha I hate housegirl even houseboys!!Mwenye macho haambiwi tazama!
usiseme hivyo ndg yangu, kuwa na hg sio tunapenda, ila mazingira! unafanya kazi na una mtoto mdogo utafanyaje, utamuacha mtoto kwa jirani? la hasha, hg ni muhimu kwetu
 
Hili nalo linahitaji mjadala? Kwahiyo kinachokufanya uje hapa kutaka mjadala ni kwa sababu amekuomba sh 5000? Hiyo inatosha kuwa justification ya kwamba wenye matatizo hayo ni wasichana wa kazi pekee au ni matatizo ya binadamu wote?
 
Back
Top Bottom