CCM original
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 373
- 68
Hata mimi hiyo lagha ya makapi nimeisikia. Nikashangaa sana.
ulitaka aite MABAKI badala ya makapi?
Hata mimi hiyo lagha ya makapi nimeisikia. Nikashangaa sana.
we jamaa unapotosha pinda hajasema kuwa asilimia moja ya saruji itaenda dar bali asilimia moja ya gesi ndiyo itakayoenda dar na asilimia 99 itabaki mtwara,sasa wewe unayepotosha hatukuelewi lakini ndiyo matatizo ya vijana wa bavicha.
Hata mimi hiyo lagha ya makapi nimeisikia. Nikashangaa sana.
Ule mpango wa CHADEMA kutaka kutumia vurugu za MTWARA kama mataji wa kujitafutia umaarufu MTWARA utakuwa umezikwa rasmi.
Makapi ya nini Mtwara? Tunataka gesi safi
Hata mimi hiyo lagha ya makapi nimeisikia. Nikashangaa sana.
Waziri mkuu MKPP ameyasema hayo wkt akizindua ujenzi wa kujenga kiwanda cha Saruji mkoani mtwara ktk kijiji cha madimba. amesema kuwa wana mtwara wasiwe na wasiwasi kwani ni kiasi kidogo tu cha saruji ambacho akizidi 1% ndio kitakachokwenda Dar baada ya kusafishwa na makapi (mabaki) yote yatabaki hapohapo Mtwara kwa matumizi ya wana mtwara.
My Take:
Dar niya gesi safi,wana Mtwara niwa Makapi. Tutafika tu,hakuna shida.
Mkuu sometimes maneno kama haya huwa hayafai.kweli uongozi si elimu, rangi wala umri uongozi ni weledi apo pinda kawatukana live wanamtwara na watz kwa ujumla
CC. THE BIG SHOW
Watu wa Mtwara tunawajari, mtakuwa kama Dubai, mtaendelea tutachukua gesi kidogo tu (1% tu)!. Ugomvi wa nini?
Jamani mda mwingine tuwe tunajadili masuala ya msingi haya masuala ya vyama yatatugawa. Kinacho takiwa tujadili gesi yetu tutanufaika nayo vipi. Sisi ni wamoja bila kujali itikadi ya vyama.Ule mpango wa CHADEMA kutaka kutumia vurugu za MTWARA kama mataji wa kujitafutia umaarufu MTWARA utakuwa umezikwa rasmi.
Hakuna upotoshaji wowote nliofanya,Amesema gesi ni nyingi sana,Dar itakwenda si zaidi ya 1% ya gesi yote,na makapi ya gesi itakayokwenda Dar yatabaki hapohapo Mtwara.