Mbunge Sugu, mchumba wake na mtoto wao wakihamasisha utalii wa ndani.

Safi c mbaya umuoe lkn kaka usibadilishe kila siku ww mheshimiwa, but i lyk t mmetokelezea bg up bro
 
Wabongo hao mkuu,ila hawaoni kuna watu wanajichora na maina mwili mzima na wanaingia kwenye nyumba za ibada kufunga ndoa hilo kwao halina tatizo,tatizo kwao ni tattoo tu

Umeona eeh! Yaani ni.madness tu hapa na kujitoa ufahamu!
 
C,unajua tena upande wa2 wa shilingi wengi elimu ndogo, upeo hakuna ni kuropokatu kaamishuz,
 
Aibu gani sugu anaishi bila ndoa na huyo dada wapigavkura tumweke kundi gani ?
 
Mbunge wetu unatupa picha gani? labda mimi nina kasumba mbaya nikiona demu ana tatoo ni kama kabaang ni mwake mwake!!
...haikuhusu,mtu akiwa mbunge sio mpaka muda wa kwenda chooni unaiga,kisa mbunge wako,vingine muachie yeye mwenyewe...
 
Back
Top Bottom