Anaconda team vs clouds media

wajojo

Senior Member
Apr 29, 2013
155
83
The war has just began,tupo nyuma yako dada usikate tamaa wala kujihis mnyonge yaani hiyo tarehe 27 lazima kinuke.tunataka haki ya dada yetu,mtanzania mwenzetu,shabiki wetu.everything has got an end.ANACONDA TEAM,NO SURRENDER...
 
The war has just began,tupo nyuma yako dada usikate tamaa wala kujihis mnyonge yaani hiyo tarehe 27 lazima kinuke.tunataka haki ya dada yetu,mtanzania mwenzetu,shabiki wetu.everything has got an end.ANACONDA TEAM,NO SURRENDER...

Haki ipi hiyo mnayoitaka? Na kwa nini hamjaenda mahakamani kuitafuta?
 
Kweli jide anaconda yaani mnakimbilia mahakamani?? Na mbwembwe zote hizo duh kwel jide noumer
 
kwa issue ya pimbi ruge nami naunga mkono lazima kieleweke.
 
Muulize ruge kwan nini anataka wayamalize????.....ivi kwa akili yako timamu ruge anaweza kusema wayamalize bila kuwa na tatizo????... Kama ubongo wako unafany kazi vizur utaelewa
 
nyani ngabu anamtetea ruge sijui ni shemeji yake...kamwambie aache ujambazi na unyonyaji ndio ajtetee kumpeleka jde court ndio mmeamshatension ya watz....mwsho wenu wanyonyaji umefka
 
Tushamzoea huyo jamaa ana roho ta kwann ila akumbuke kuwa haya maisha tu kama ni hela za kwake yeye kwa kifupi anaiharibia clouz ua boaring bhana aaaa
 
Back
Top Bottom