Wapemba gani wenye biashara za maana,biashara zote ziko mikononi mwetu Wa Tanganyika,nyinyi rudini kwenu,umkalime karafuu,mume humtaki,kuondoka huondoki,ondokeni,mtuachie Tanganyika huru.
Biashara gani mlokuwa nayo nyie? Hahahaa hii kali sasa, au ujambazi na ufisadi? Kama ni ivo sawa mnavonyie. Lakini hamuna biasharamlokuwa nayo mikononi, ata dhahabu yenu wanayo makaburu mna nini msiojiweza?