Search results

  1. rmashauri

    Soko la vitunguu kwa sasa

    Wakuu natarajia kuanza kuvuna vitunguu mwishoni mwa mwezi huu. Vipi soko likoje Kwa sasa? Nani mwenye uzoefu wa kusafirisha kuja kuuza mijini mfano Dar es Salaam na kwingineko? Napanga kama bei ya shamba itakuwa ndogo sana nisafirishe.
  2. rmashauri

    Msaada wakuu: AC ya Terios

    Nasumbuliwa na AC ya Daihatsu Terios na tatizo hasa liko kwenye compressor. Kwa yeyote anayewafahamu mafundi wazuri wa AC za magari au wapi naweza pata compressor ya Terios kwa DAR anijulishe. Asanteni
  3. rmashauri

    Nahitaji dishi kubwa - Msaada

    Heshima yenu wakuu, Huwa naona kwenye nyumba za watu binafsi wameweka madishi makubwa maarufu kama "ungo" yale ambayo yako kama chujio. Ningependa kujuwa kwa wenye uzoefu nayo, nayapata wapi kwa hapa DAR na chanel zilizomo kwa kifupi na gharama zake. Asanteni sana.
  4. rmashauri

    HABA na HABA Akaunti ya EXIM Bank

    Wakuu nilikuwa najaribu kupitia mitandao ya mabenki mbalimbali ya hapa nyumbani kwetu TZ na nimekutana na hii kitu inaitwa HABA na HABA akaunti ya watu wa Exim Bank. Nimeona inaweza kuwa ya msaada sana wakati utakapostaafu na kuachana headache za PPF, NSSF and the Co. Kwa taarifa zaidi gonga...
  5. rmashauri

    Rais komesha uhuni huu TANESCO

    Watanzania wenzangu, tatizo la umeme linaloikabili nchi yetu ni "man made" yaani ni la kutengenezwa na wanadamu. Katika mkutano kati ya waziri mpya wa Nishati na Madini na wafanyakazi wa TANESCO kanda ya Dar es Salaam na Pwani wiki iliyopita wafanyakazi walimweleza waziri matatizo lukuki...
  6. rmashauri

    Vifaa vya umeme (Wiring materials)

    Wakuu ni duka gani kwa Dar es Salaam wanauza genuine (made in Europe if possible) wiring materials na vikorombwezo vyake kama vile soketi, swichi n.k. Niko kwenye hatua ya kufanya wiring kwenye nyumba mpya. Natanguliza shukrani zangu.
  7. rmashauri

    Zitto, Mnyika wafichua upotoshaji bajeti ya Mkulo; Spika Makinda akiri, amtaka Mkulo arekebishe

    Wakuu, pendekezo la Zitto Kabwe la kutumia asilimia 4 ya "Skills Development Levy " iliyokuwa inaingia serikali kuu kusomesha vijana wetu limetekelezwa kwenye bajeti ya mwaka 2011/2012. Nanukuu "79. Mheshimiwa Spika, napendekeza kufanya marekebisho kwenye sheria ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi...
  8. rmashauri

    The World's Most Expensive Stuff 2010

    The World's Most Expensive Stuff 2010 by Venessa Wong Tuesday, April 20, 2010 provided by The Rich Spend Richer More from BusinessWeek.com: • Art to Cigars: A Shopping List for the Superrich • New York's Most Expensive Real Estate • The 50 Most Expensive Small Towns in America 2010 For...
  9. rmashauri

    Elgar £20 note no longer legal tender

    Elgar £20 note no longer legal tender...
  10. rmashauri

    Hali ilivyo Ughaibuni kwa sasa

    Hivi ndivyo mandhari ya ughaibuni yanavyoonekana kwa sasa.
  11. rmashauri

    A North Caucasus Islamist group in Russia claim resposible for train bombing

    Kavkazcenter.com has been known to carry accurate claims of attacks A North Caucasus Islamist group has claimed responsibility for a bomb that killed 26 people on a Moscow-to-St Petersburg train, a website says. The website claim on Kavkazcenter.com said last Friday's attack was carried out by...
  12. rmashauri

    Space tourist landed back safely

    Guy Laliberté returns red-nosed to Earth after space odyssey Cirque du Soleil tycoon lands in Kazakhstan after 10 days aboard the International Space Station wearing his clown's nose <LI class="third-party-tool no-comments " sizset="29" sizcache="0">Buzz up! Digg it Associated Press in...
  13. rmashauri

    Dangerous foods list includes leafy greens, eggs, tuna

    Dangerous foods list includes leafy greens, eggs, tuna <LI class=byline>By Aaron Smith, CNNMoney.com staff writer On 2:07 pm EDT, Tuesday October 6, 2009 Leafy greens -- including lettuce and spinach -- top the list of the 10 riskiest foods, according to a study from a nutrition advocacy group...
  14. rmashauri

    Yuko wapi Timothy Ng'winamila?

    Jamani kwa wapenzi wa nyimbo za injili jina la Timothy Ngw'inamila si geni masikioni mwao. Huyu mtu alikuwa maarufu sana kwa utunzi na uimbaji wa nyimbo za injili hadi miaka ya 90. Hivi sasa hasikiki kabisa. Je kuna mtu ana taarifa za aliko?
  15. rmashauri

    Nafasi ya kazi Botswana

    Wana JF, Ndugu zetu wa Botswana wanatafuta mkurungezi wa mambo ya utafiti na maendeleo (Research and Development). Anatakiwa awe na PhD ya Science au uhandisi. Kwa maelezo zaidi soma attachment.
  16. rmashauri

    Hawa klm vipi, mbona hili tatizo limekuwa sugu?

    350 KLM passengers fail to fly out of Dar 2009-04-20 16:30:34 By Patrick Kisembo About 350 KLM passengers were stranded on Saturday night at the Julius Nyerere International Airport after their plane reportedly developed technical problems. Some of the passengers booked for the...
Back
Top Bottom