rmashauri
JF-Expert Member
- Jan 29, 2009
- 3,011
- 454
Heshima yenu wakuu,
Huwa naona kwenye nyumba za watu binafsi wameweka madishi makubwa maarufu kama "ungo" yale ambayo yako kama chujio. Ningependa kujuwa kwa wenye uzoefu nayo, nayapata wapi kwa hapa DAR na chanel zilizomo kwa kifupi na gharama zake. Asanteni sana.
Huwa naona kwenye nyumba za watu binafsi wameweka madishi makubwa maarufu kama "ungo" yale ambayo yako kama chujio. Ningependa kujuwa kwa wenye uzoefu nayo, nayapata wapi kwa hapa DAR na chanel zilizomo kwa kifupi na gharama zake. Asanteni sana.