Search results

  1. Gogle

    Nikiona makalio makubwa yanatingishika napatwa na kizunguzungu, msaada tafadhali

    Habari zenu wana JF. Wakuu nimekuwa na hili tatizo kwa zaidi ya miaka 10 sasa, limekuwa likijirudia mara kwa mara. Yaani ni kwamba imekuwa kawaida nikiwa natembea njiani nikiona mdada mwenye makalio makuwa yanatingishika inabidi nikae chini kwanza au niegemee nguzo au ukuta, nisipofanya hivyo...
  2. Gogle

    Degree kwa tuliosoma GEK/GKL

    Habari wakuu, Matokeo ya Kidato cha Sita yametoka, naomba kufahamu kozi za Degree kwa waliosoma combi ya Geography, Kiswahili na English
  3. Gogle

    Kwanini serikali hupeleka kesi kwenye mahakama zisizokuwa na uwezo wa kuzisikiliza?

    Habari zenu wakuu, Mara nyingi nimesikia kwenye habari "Hakimu amemtaka mshtakiwa kutojibu chochote kwa kuwa mahakama hiyo haina mamlaka ya kusikiliza kesi hiyo". Sasa najiuliza kwanini serikali imepeleka kesi hiyo kwenye mahakama isiyo na mamlaka nayo. Je hawakujua kwamba mahakama...
  4. Gogle

    Ni adhabu gani bunge linaweza Kumpa CAG

    Wakuu naomba kujua ni adhabu gani kisheria kamati ya maadili ya bunge inaweza kumpa CAG Assad kwa haya yanayoendelea. Sent from my iPhone using JamiiForums
  5. Gogle

    Museveni ni rafiki yetu, tuongee nae mechi ijayo atuachie na sisi tutinge AFCON

    Yeye si ameshafuzu! Bila ya hivyo AFCON tutabaki kuangalia kwenye Luninga
  6. Gogle

    Rais wa indonesia alivyowasili kwenye asian games 2018

    Huyu jamaa ni balaa!
  7. Gogle

    Kichanga chazuiwa kwa miezi 5 kwa kushindwa kulipa bill.

    Hii hutokea kwa shithole countries tu. Baby held for months over unpaid bill
  8. Gogle

    Mbona Tanzania haishiriki katika Winter Olympics?

    Kwani ni lazima nchi zinazoshiriki ziwe na snow?
  9. Gogle

    Hii ndio elimu inayotolewa na International schools

    Kwa elimu hii wanayopewa watoto wetu huko international schools, tujiandae kuwakamata kina Milembe na Shonza wengi sana huko mbeleni.
  10. Gogle

    Majina na maneno yaliyopoteza hadhi 2017

    I. Bashite II. Bavicha III. Kamanda IV. Chattle V. _ _ _ VI _ _ _ Heri.ya 2018
  11. Gogle

    Atletico vs Chelsea itaoneshwa Azam tv?

    Wakuu hapa kuna Kifurushi cha sh 15000 cha azamtv , chanel itaonyesha hii game?
  12. Gogle

    Msaada kuhusu ndoto inayoendelea kwa three nights mfululizo

    Wakuu, Usiku wa kuamkia juzi niliota nimepata ajali ya ndege, ndege ilianguka baharini karibu na nchi kavu huko sudan, ilipoanguka tu nikashtuka ndoto ikaishia hapo. Usiku wa kuamkia jana ndoto ikaendelea nikiwa katika hekaheka ya kujiokoa nikafanikiwa, nikahojiwa na waandishi wa habari...
  13. Gogle

    Msaada: Jinsi ya kutambua akaunti ya Instagram ambayo ni contact kwenye simu

    Wakuu, kwenye instagram huwa wanakushauri (suggestion) akaunti za kufollow, huwa wanakwambia fulani ni mmoja kati ya contacts zako lkn kwa kawaida majina ya contacts na majina ya akaunti za insta hutofautiana. Msaada ninaouhitaji ni: Nitajuaje namba ya simu ya huyu ambae insta wamesuggest...
  14. Gogle

    Chemsha bongo: jibu lake sio 6

    Gogle
  15. Gogle

    Kilimanjaro Story by Casey Neistat

    Gogle
  16. Gogle

    WaTanzania wengi ni Makapuku na Wacheza Kamari

    Habari wakuu? Kwa muda mrefu humu JF kila kila nikirefresh katika ukumbi wa New post threads za mwanzo kutokea ni ile ya makapuku na ile ya kubet, je hii inamaanisha waTanzania wengi ni makapuku na wacheza kamari? Nauliza tu.
  17. Gogle

    Trump vs Headscarves

    Then
  18. Gogle

    Wapenzi wa Just For Laugh Gags tujumuike hapa

    Habari wadau, Mimi ni mshabiki mkubwa wa pranks za Just for Laugh Gags. Wale wenzangu na mimi tujumuike hapa tucheke pamoja, tupunguze stress tuongeze siku za kuishi.
Back
Top Bottom