Mungu yupo na atamlipa siku ya mwisho KirangaAisee huyu jamaa ana masifa ya kihaya hivi hizi kifuru mwenyez Mungu hazion Kiranga
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hana makuu kwa wananchi wake sidhani kama ana la kuhofia..... Angalia huyu waziri mkuu huko Nertherland anaenda ofisini kwa baiskeli yakeDaah kwa kweli ni balaa. Hivi hapo suala la ulinzi linakuwaje? As far as the presidence is concerned
Sent using Jamii Forums mobile app