Hali ya hewa ilikuwa kama shwari, lakini hizi kelele na kimbunga na wingu kubadilika vinaashiria mafuriko bado yapo. Mhe. Lowassa amekwisha timkia CHADEMA ili aweze timiza maono aliyonayo juu ya TZ. Je haya mafuriko yanaweza zuiwa kwa mkono?
Kumekuwa na tuhuma dhidi ya askari wa usalama barabarani kwamba wapokea rushwa.Nakumbuka pia Mwandishi Jerry Muro alishawahi rusha video clip ya askari akipokea mlungula.
Swali hivi wakishapokea fedha huwa wanaweka wapi?. maana sijawahi kuona mifuko ya nguo zao imetuna kwa kujaa fedha!.
Wadau huwa kuna matukio ya kihalifu tunayaona mtaana. MFANO polisi wakipokea rushwa na kuacha uhalifu uendelee. Sasa Je ni wapi mahali salama na sahihi ya kupeleka taarifa ili zifanyiwe kazi?. Hivi kuna wasafi na waaminifu na wenye ujasiri kwenye system?.
Visiting UN not priority for Khama
View PhotoCOST CONSCIOUS: Seretse Ian Khama does not go to many summits as he says some are just talk shops and
GABORONE Lt-Gen Seretse Ian Khama, now in his fifth year as Botswanas president, has yet to make the pilgrimage to New York for the...
Kama jina lako linatumiwa na mojawapo ya shule za sekondari zinazofanya vibaya, ungechukua hatua gani?.
Hivi wenye haya majina wanajisikiaje wanapoona matokeo haya?.
Jina la Shule
DIV-I 17
DIV-II
DIV-III
DIV-IV
FLD...
Kama jina lako linatumiwa na mojawapo ya shule za sekondari zinazofanya vibaya, ungechukua hatua gani?.
Hivi wenye haya majina wanajisikiaje wanapoona matokeo haya?.
Jina la Shule
DIV-I 17
DIV-II
DIV-III
DIV-IV
FLD...
Ni raisi pekee:
1.Aliye mpole na asiye na papara katika mambo yake
2.mwenye huruma na utu, hakusi kuhudhuria misiba muhimu, kutuma salamu za rambirambi, kutembelea wagonjwa, n.k
3.Anayeweza kukuita ikulu na ukaenda bila woga
4.Anayependwa na wana CCM hatakushinda tena nafasi ya uenyekiti
5.Asiye...
wadau naomba msaada wa kufahamishwa kuhusu ulipaji kodi wa hizi bureau de change.Ukienda kubadili fedha wengi hawatoi risiti na cha ajabu leo nimedai risiti nikapewa ila sioni makato yeyote ya kodi kwenye risiti.Je hii ni sawa? Au hawa jamaa wanalipa vipi kodi?
wadau naomba msaada wa kufahamishwa kuhusu ulipaji kodi wa hizi bureau de change.Ukienda kubadili fedha wengi hawatoi risiti na cha ajabu leo nimedai risiti nikapewa ila sioni makato yeyote ya kodi kwenye risiti.Je hii ni sawa? Au hawa jamaa wanalipa vipi kodi?
Ndugu wana JF,
Jana nilipata bahati ya kuwahoji baadhi ya vijana wanaofanya mitihani ya kidato cha 4.Hawa vijana wakaniambia mitihani imevuja, paper kama ya histori na biology walizopata nje ndizo wlizozikuta ndani ya chumba cha mtihani. HIVI TUNATENGENEZA TAIFA LA NAMNA GANI?
Wadau nimepata nafasi ya kuwahoji madogo wanaofanya mitihani ya kidato cha nne.Hali inaonyesha mitihani inapatikana.Maana maswali wanayokujanayo wenzao ndio hayo wanayakuta ndani ya chumba cha mtihani.Shame on Us.
WanaJF nimeikopi hii mahali, Tafakari, chukua hatua
KIONGOZI BWM Vs JK
MWAKA 2000 -2004 Vs 2005-2009
Unga 460 Vs 1000 = 217%
Mchele 600 Vs 1200 = 200%
Sukari 760/kg Vs 1600/kg = 210%
Mkate 250 Vs 700 = 280%
Maharagwe 360/kg Vs 1000/kg = 277%
Mafuta ya taa 450/lt Vs 1050 = 233%...
Hivi aliyetunga hivi vitu yupo hai?.
* Binadamu wote ni Sawa
* Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake
* Ujamaa na kujitegemea ndiyo njia pekee ya kujenga jamii ya watu walio sawa na huru
AHADI ZA WANACHAMA WA CHAMA CHA MAPINDUZI
(1) Binadamu...
I have been asking myself, why did we close our Petroleum refining company (TIPER) after seen this news from the daily news.
Modern oil refinery for Dar es Salaam
A FOUR-nation consortium will soon start construction a state-of-the-art oil refinery in Dar es Salaam and an oil pipeline...
Nimechukua muda wa kama Saa zima kutemebelea tovuti ya bunge la Tanzania, yaani http://www.parliament.go.tz na kuangalia Cv za wabunge wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.Nimegundua kuwa wengi wa wabunge hawana hata digrii.
Je kwa utendaji wa bunge letu wa sasa, kuna uhusiano wowote na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.