Elections 2010 Mkapa vs kikwete

pcman

JF-Expert Member
Oct 9, 2008
742
186
WanaJF nimeikopi hii mahali, Tafakari, chukua hatua

KIONGOZI BWM Vs JK
MWAKA 2000 -2004 Vs 2005-2009

Unga 460 Vs 1000 = 217%
Mchele 600 Vs 1200 = 200%
Sukari 760/kg Vs 1600/kg = 210%
Mkate 250 Vs 700 = 280%
Maharagwe 360/kg Vs 1000/kg = 277%
Mafuta ya taa 450/lt Vs 1050 = 233%
Mafuta ya uto 178/lt Vs 720/lt = 404%
Nazi 100 Vs 550 = 550%
Mchicha/tembele 50 Vs 150 = 300%

unalipwa 100,000/-kwa mwezi kwa jedwali la hapo juu kila siku lazima
ununue unga robo 400, mchele nusu 300, uto kibaba 125, mafta taa
kipimo 300, sabuni nusu kipande 50, sukari robo 400, maharagwe robo
250, mkaa nusu kisado 300, nauli go & return 500, maji ya kunywa 500,
hapo ni bachalor kwa siku ni 3,125 mara 30 = 93,750 kwa mwezi. Okay
kodi kwa mwezi 20,000/- umeme 6000 kwa mwezi =total kwa mwezi ni
120,000/- je hiyo 20,000/- ziada katoa wapi????? ndo hizo mwisho wa
siku zina wapeleka jela au kuwanaachishwa kazi. Je maisha bora hapo
atoe wapi? Na je angekuwa na mtoto wa shule au watoto wawili? hapo
hajaumwa, hajatembelewa na mgeni akamnunulia soda, hajanunua nguo
nyingine!!!! Huyu mnaempigia kura hayajui hayo na hatambui kama una
familia kijijini pia. wao wanatibiwa na serikali, mafuta ya magari
kwao ni sawa na kumuuliza bibi akupigie story ya sungura. wenzie
wakitaka ongezo la mshahara wanajadiliwa in 2Hrs jibu tayari ila
waalimu na wenzao.........! 3 years.

Yeye huyu JeyKey na hao wapambe wake na hao wanajipendekeza kama
Shigongo waulizeni watoto zao ni akinani? utaambiwa mbunge, mara yuko
BOT mara yule wa mwisho yuko ulaya kamtembelea shangazi yake, mara
yuko busy na tenda ya kusuply komputa Wizarani. Wewe je unae mpigia
kura tupe wasifu wako hata hao watoto wako na wategemezi wako. Hata
baiskeli kule kijijini huna wala wazazi wako ndo unakesha kuwaombea
wasiumwe kwa kuwa gharama za hospitali zitakuwa zako.

Muulize kesi za mafisadi vipi? Na je wanampango gani? utaambiwa yuko
busy na harakati ya kutafuta ulaji kwa mara ya pili.

Hao wapambe wake na mawaziri wanaendesha magari gani utaambiwa aah
wana tano tano kila wizara VBV8, uliza bei zake kila moja, inatumia
mafuta kiasi gani kwa mwezi, na majukumu yake ni yapi? Na je
zinakoenda akina RAV4, Suzuki, BMW ndogondogo hawafiki? Utaambiwa
wanawahi kuwasilisha agenda. KWEEELI?

Na je hizo gharama za uendeshaji fedha zinatoka wapi? Utajibiwa kwenye
mfuko wa serikali. Waulize serikali ina miradi gani ya kuweza
kuendesha hayo magari tu achana na posho zao na mengineyo? Jibu ni
KODI ZENU wananchi waungwana tulio na amani na utulivu kwetu. KWEELI
kwa mshahara wa laki mbili zangu/zako?

FUNGUENI MACHO NA AKILI ZENU WAUNGWANA. Wenzenu Zenji wameshaliona
hili wameamua kujicholea MIPAKA yao Mapema.

MTAENDELEA KUZUBAISHWA NA STORI ZA KUTUNGA NA UDAKU NA KUSHANGILIA
MISAFARA MIREFU YA KAMPENI INAYOUNDWA NA KODI ZENU.
 
WanaJF nimeikopi hii mahali, Tafakari, chukua hatua

KIONGOZI BWM Vs JK
MWAKA 2000 -2004 Vs 2005-2009

Unga 460 Vs 1000 = 217%
Mchele 600 Vs 1200 = 200%
Sukari 760/kg Vs 1600/kg = 210%
Mkate 250 Vs 700 = 280%
Maharagwe 360/kg Vs 1000/kg = 277%
Mafuta ya taa 450/lt Vs 1050 = 233%
Mafuta ya uto 178/lt Vs 720/lt = 404%
Nazi 100 Vs 550 = 550%
Mchicha/tembele 50 Vs 150 = 300%

unalipwa 100,000/-kwa mwezi kwa jedwali la hapo juu kila siku lazima
ununue unga robo 400, mchele nusu 300, uto kibaba 125, mafta taa
kipimo 300, sabuni nusu kipande 50, sukari robo 400, maharagwe robo
250, mkaa nusu kisado 300, nauli go & return 500, maji ya kunywa 500,
hapo ni bachalor kwa siku ni 3,125 mara 30 = 93,750 kwa mwezi. Okay
kodi kwa mwezi 20,000/- umeme 6000 kwa mwezi =total kwa mwezi ni
120,000/- je hiyo 20,000/- ziada katoa wapi????? ndo hizo mwisho wa
siku zina wapeleka jela au kuwanaachishwa kazi. Je maisha bora hapo
atoe wapi? Na je angekuwa na mtoto wa shule au watoto wawili? hapo
hajaumwa, hajatembelewa na mgeni akamnunulia soda, hajanunua nguo
nyingine!!!! Huyu mnaempigia kura hayajui hayo na hatambui kama una
familia kijijini pia. wao wanatibiwa na serikali, mafuta ya magari
kwao ni sawa na kumuuliza bibi akupigie story ya sungura. wenzie
wakitaka ongezo la mshahara wanajadiliwa in 2Hrs jibu tayari ila
waalimu na wenzao.........! 3 years.

Yeye huyu JeyKey na hao wapambe wake na hao wanajipendekeza kama
Shigongo waulizeni watoto zao ni akinani? utaambiwa mbunge, mara yuko
BOT mara yule wa mwisho yuko ulaya kamtembelea shangazi yake, mara
yuko busy na tenda ya kusuply komputa Wizarani. Wewe je unae mpigia
kura tupe wasifu wako hata hao watoto wako na wategemezi wako. Hata
baiskeli kule kijijini huna wala wazazi wako ndo unakesha kuwaombea
wasiumwe kwa kuwa gharama za hospitali zitakuwa zako.

Muulize kesi za mafisadi vipi? Na je wanampango gani? utaambiwa yuko
busy na harakati ya kutafuta ulaji kwa mara ya pili.

Hao wapambe wake na mawaziri wanaendesha magari gani utaambiwa aah
wana tano tano kila wizara VBV8, uliza bei zake kila moja, inatumia
mafuta kiasi gani kwa mwezi, na majukumu yake ni yapi? Na je
zinakoenda akina RAV4, Suzuki, BMW ndogondogo hawafiki? Utaambiwa
wanawahi kuwasilisha agenda. KWEEELI?

Na je hizo gharama za uendeshaji fedha zinatoka wapi? Utajibiwa kwenye
mfuko wa serikali. Waulize serikali ina miradi gani ya kuweza
kuendesha hayo magari tu achana na posho zao na mengineyo? Jibu ni
KODI ZENU wananchi waungwana tulio na amani na utulivu kwetu. KWEELI
kwa mshahara wa laki mbili zangu/zako?

FUNGUENI MACHO NA AKILI ZENU WAUNGWANA. Wenzenu Zenji wameshaliona
hili wameamua kujicholea MIPAKA yao Mapema.

MTAENDELEA KUZUBAISHWA NA STORI ZA KUTUNGA NA UDAKU NA KUSHANGILIA
MISAFARA MIREFU YA KAMPENI INAYOUNDWA NA KODI ZENU.

duu yaani sijui inakuwaje natamani watanzania woote wayajue haya!
 
Hizi ndio data wagombea wa Chadema wanatakiwa wazimwage kwenye mikutano ya hadhara wavijijini wapate kuelewa udhalimu wa CCM!!
 
kumlinganisha mkapa na kikwete ni sawa na kumlinganisha Sir Isac Newton (Mkapa) na mwalimu wa UPE (makamba)
 
Waliokua wanasema MUNGU Aturehemu muda ndo huu, Ametuonyesha Rehema zake kwa kumleta mkombozi atakaye tutoa kwenye utumwa na udhalimu wa mafarao wa sisi-m. Usifanye makosa 31 oct.
 
Kikwete hajui alifanyalo, ndio maana anajidondosha majukwaani ili wapiga kura wamuonee huruma.
WanaJF nimeikopi hii mahali, Tafakari, chukua hatua

KIONGOZI BWM Vs JK
MWAKA 2000 -2004 Vs 2005-2009

Unga 460 Vs 1000 = 217%
Mchele 600 Vs 1200 = 200%
Sukari 760/kg Vs 1600/kg = 210%
Mkate 250 Vs 700 = 280%
Maharagwe 360/kg Vs 1000/kg = 277%
Mafuta ya taa 450/lt Vs 1050 = 233%
Mafuta ya uto 178/lt Vs 720/lt = 404%
Nazi 100 Vs 550 = 550%
Mchicha/tembele 50 Vs 150 = 300%

unalipwa 100,000/-kwa mwezi kwa jedwali la hapo juu kila siku lazima
ununue unga robo 400, mchele nusu 300, uto kibaba 125, mafta taa
kipimo 300, sabuni nusu kipande 50, sukari robo 400, maharagwe robo
250, mkaa nusu kisado 300, nauli go & return 500, maji ya kunywa 500,
hapo ni bachalor kwa siku ni 3,125 mara 30 = 93,750 kwa mwezi. Okay
kodi kwa mwezi 20,000/- umeme 6000 kwa mwezi =total kwa mwezi ni
120,000/- je hiyo 20,000/- ziada katoa wapi????? ndo hizo mwisho wa
siku zina wapeleka jela au kuwanaachishwa kazi. Je maisha bora hapo
atoe wapi? Na je angekuwa na mtoto wa shule au watoto wawili? hapo
hajaumwa, hajatembelewa na mgeni akamnunulia soda, hajanunua nguo
nyingine!!!! Huyu mnaempigia kura hayajui hayo na hatambui kama una
familia kijijini pia. wao wanatibiwa na serikali, mafuta ya magari
kwao ni sawa na kumuuliza bibi akupigie story ya sungura. wenzie
wakitaka ongezo la mshahara wanajadiliwa in 2Hrs jibu tayari ila
waalimu na wenzao.........! 3 years.

Yeye huyu JeyKey na hao wapambe wake na hao wanajipendekeza kama
Shigongo waulizeni watoto zao ni akinani? utaambiwa mbunge, mara yuko
BOT mara yule wa mwisho yuko ulaya kamtembelea shangazi yake, mara
yuko busy na tenda ya kusuply komputa Wizarani. Wewe je unae mpigia
kura tupe wasifu wako hata hao watoto wako na wategemezi wako. Hata
baiskeli kule kijijini huna wala wazazi wako ndo unakesha kuwaombea
wasiumwe kwa kuwa gharama za hospitali zitakuwa zako.

Muulize kesi za mafisadi vipi? Na je wanampango gani? utaambiwa yuko
busy na harakati ya kutafuta ulaji kwa mara ya pili.

Hao wapambe wake na mawaziri wanaendesha magari gani utaambiwa aah
wana tano tano kila wizara VBV8, uliza bei zake kila moja, inatumia
mafuta kiasi gani kwa mwezi, na majukumu yake ni yapi? Na je
zinakoenda akina RAV4, Suzuki, BMW ndogondogo hawafiki? Utaambiwa
wanawahi kuwasilisha agenda. KWEEELI?

Na je hizo gharama za uendeshaji fedha zinatoka wapi? Utajibiwa kwenye
mfuko wa serikali. Waulize serikali ina miradi gani ya kuweza
kuendesha hayo magari tu achana na posho zao na mengineyo? Jibu ni
KODI ZENU wananchi waungwana tulio na amani na utulivu kwetu. KWEELI
kwa mshahara wa laki mbili zangu/zako?

FUNGUENI MACHO NA AKILI ZENU WAUNGWANA. Wenzenu Zenji wameshaliona
hili wameamua kujicholea MIPAKA yao Mapema.

MTAENDELEA KUZUBAISHWA NA STORI ZA KUTUNGA NA UDAKU NA KUSHANGILIA
MISAFARA MIREFU YA KAMPENI INAYOUNDWA NA KODI ZENU.
 
Atakapochaguliwa tena haya yanaweza tokea!

Muhula wa kwanza v/s Muhula wa pili

Unga 1000 Vs 2500
Mchele 1200 Vs 2400
Sukari 1600/kg Vs 3200/kg
Mkate 700 Vs 1800
Maharagwe 1000/kg Vs 3000/kg
Mafuta ya taa 1050/lt Vs 2000
Mafuta ya uto 720/lt Vs 1600/lt
Nazi 550 Vs 1200
Mchicha/tembele 150 Vs 600

Na mshahara utakuwa huo huo maana alisema hata kwa miaka nane hamtaongezewa!!

Be careful hapo Oct 31!
 
WanaJF nimeikopi hii mahali, Tafakari, chukua hatua

KIONGOZI BWM Vs JK
MWAKA 2000 -2004 Vs 2005-2009

Unga 460 Vs 1000 = 217%
Mchele 600 Vs 1200 = 200%
Sukari 760/kg Vs 1600/kg = 210%
Mkate 250 Vs 700 = 280%
Maharagwe 360/kg Vs 1000/kg = 277%
Mafuta ya taa 450/lt Vs 1050 = 233%
Mafuta ya uto 178/lt Vs 720/lt = 404%
Nazi 100 Vs 550 = 550%
Mchicha/tembele 50 Vs 150 = 300%

.

Nami niongezee kidogo juu ya hapo

Cement 6000 vs 12500 asilimia jaza mwenyewe
Kodi ya chumba uswazi 10,000 vs 25,000 malizia
mabati ......
ndoo ndogo ya mafuta ya kula (10L) 10,000 vs 22,000

nenda mbele zaidi na uyaone maisha bora ya kila mtanzania
 
Nadhani wanauchumi wanaweza kutueleza vizuri zaidi katika hili kuendana na kuimarika au kuanguka kwa sarafu ya TZ, kama hatujaona kasoro hapa basi may we rest in peace, Amen.
Guys. Tanzanians, open up your eyes and watch the rotten state and a decaying country at our own pace and cost. Wajukuu wetu watatulaumu sana kwa kuliacha taifaletu liangike kiasi hiki!
 
Mi nitatoa kopi 10. harafu ntawapelekea wabishi wanao shabikia ccm ili wanaposhabikia ccm wajue wanajimaliza wenyewe.

Naamini kila mwana JF akitoa kopi 10 tu, italeta tofauti kwenye upigaji kura. HEBU TUGAWE HII MSG KWA WATU. BIG UP PCMAN
 
Watanzania kweli tuna msiba wa watu wanaoendelea kushabikia ccm huku hawajui watoto wao watafanya nini miaka ijayo. wakati wao January Makamba na Rizwani tayari wamesha anza kula bata. Mi niliona shabiki mmoja wa ccm amevaa kandambili zote za mguu wakulia!!.

KWELI WAMEWATUMIA WATANZANIA MASIKINI KUWA MTAJI WAO.
Mwenyekiti wa maadili wa ccm ndo anakashfa ya rushwa ya Rada. waulizeni mbona naye hawajamfanyia usanii wa kufungua kesi ili waendelee kuzuga??
 
Mkuu mi tangu nizaliwe sijawahi kupigia kura ccm na kamwe sintafanya hivo make sijawahi kuridhika na bajet za serikali. How can you pend let say 800,000 while your income is only 300,000?. Kama hii haiwezekani kwa mwananchi, vile vile haiwezekani kwa serikali.

Kuna bwana mmoja rafiki yangu anafanya kazi wizarani, alinieleza kuwa:
'Nafanya kazi kwenye mradi mmoja wa Serikali, wakitpa shs, 50,000,000 ziende kwenye mradi, zitakazo fika kwenye huo mradi ni kama sh. 500,000. tu nyingine lazima zitabaki kwa waziri, katibu mkuu, na sisi (wao) tutajilipa posho mbali mbali, harafu tusubiri mwakani ili tuongezewe nyingine!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Nimechoka kukaa chini na kutoa machozi. Nachukua hatua. Sijali kama itanigharimu kitu gani, ninachojua ni kwamba sitajutia uamuzi wangu mwisho wa siku. Naipenda sana Tanzania.
 
Nadhani wanauchumi wanaweza kutueleza vizuri zaidi katika hili kuendana na kuimarika au kuanguka kwa sarafu ya TZ, kama hatujaona kasoro hapa basi may we rest in peace, Amen.
Guys. Tanzanians, open up your eyes and watch the rotten state and a decaying country at our own pace and cost. Wajukuu wetu watatulaumu sana kwa kuliacha taifaletu liangike kiasi hiki!

Wanauchumi wetu ni waaajabu sana pamoja na mfuko wote wa bei watasema uchumi unakua. Swali unakua kwa anani kama wanachi hoi, serikali nayo inasema haina hela za kufanya almost kila kitu
 
jamani hivi hziz data zinzwafikiwa watu kweli??nina uhakika kila zitakayemfikia lazima ampige chini down kikwete.
 
Jana Dr Slaa aliwaambia wananchi wa Hai bei ya vitu na huduma haibagui mtu kwa kigezo cha kadi ya chama natumaini watakuwa wameelewa.
 
Nimeshaicopy na kuisambaza kwa email contact zangu zote za wa TZ !!!

We real need change Ahhhaaa. I can't wait anymore !!!!
 
Back
Top Bottom