pcman
JF-Expert Member
- Oct 9, 2008
- 742
- 186
Nimechukua muda wa kama Saa zima kutemebelea tovuti ya bunge la Tanzania, yaani http://www.parliament.go.tz na kuangalia Cv za wabunge wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.Nimegundua kuwa wengi wa wabunge hawana hata digrii.
Je kwa utendaji wa bunge letu wa sasa, kuna uhusiano wowote na nililoliona?.
Je kwa utendaji wa bunge letu wa sasa, kuna uhusiano wowote na nililoliona?.