Naomba msaada wadau.
Nahitaji kusafiri na Laptop computers tano,nikitokea New york kuja Tanzania. Laptops ni kwa matumizi ya ofisi (NGO) inayofanya kazi zake jijini Mwanza.
Naomba kujua kama naweza tu kusafiri nazo kwenye bag,na kama kuna import permit yoyote inatakiwa, Mambo ya kodi, ama...
Hi Team
Does any one know whether there are any new changes/directives from TRA about VAT for Donations?
I have just imported a container with donated items from abroad, and it is stuck in Dar port pending VAT Clearance. My last container was not charged VAT because they were donations.
Is any...
Wadau nahitaji vifungashio vya vimiminika(chupa za plastic) za kwamfano maji,juice, maziwa n.k.Pamoja mashine ya ku-seal mifuniko yake.Tafadhali naomba mwongozo wadau
Si kuna hatua ya mwisho ambayo wananchi tutaamua? Sawa, hivi sasa mko kiwanja chenu cha nyumbani, mtakuja tu kwetu wananchi, tutawaonyesha ni nini chenye tunataka. Huku hatulali, siku 90 mnazozitumia huko kwa hila, sisi tutazitumia kuwafikia wananchi
Jamaa yangu kapigwa fine hii jamani, hivi uchakavu wa seat cover nao ni kosa la barabarani kweli? Trafic police huyu mie kama sijamwelewa hivi.Tujuzane tu ili na wengine tutie maji, coz mwenzetu ndo kesha nyolewa hivyo. Na jamaa alopigwa fine hii ni Mzungu
Ofisi ni mpya tunataka kupata ISP atuwekee internet, ila nahitaji nipate specifications za kitaalam ambazo nitaziaddress kwa ISP, kwa anayeweza kuniandikia specifications za kitaalam kwa kupata internet inayoweza kutumiwa vizuri na 8 -10 users, tafadhali msaada
Nina mizigo michache hapa Morogoro, nahitaji iende Dodoma na Mwanza. Kwa kuwa mzigo si mkubwa, sjaona vyema kukodi gari zima. Nahitaji gari la mizigo linalotoka Dar au hapa Moro, kwenda Dom au Mwanza lichukue mzigo huu. Najua kuna magari ya mizigo yanajaziaga mizigo njiani yanapokwenda Mwanza...
Hii ni Memo aliyoandikwa na Mtendaji wa kijiji cha Nzasa mkoani Dom, akitii maagizo ya RC Mkoa.Hii ipo kweli kisheria? kama ni hivyo mbona sheria hii ina-apply vijijini tu, hasa wafugaji.Hii ni ya Mwezi huuhuu.
Iwe yenye uzio, chumba na sebule self, mitaa ya Isamilo, kona ya Bwiru au Ghana hata Mjini kati. Budget 150,000 kwa mwezi. Inaweza kua ya ku-share pia, say upande mmoja
Bilioni za shilingi niambieni ni wangapi wangekataa. Kama nchi hii leo kila raia anatafuta kujiweka sawa kwa nafasi yoyote sijui ni kwanini watu wanaotaka mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji wa nchi hii wanaamua kukataa ukweli mchungu kuwa jemedari wao kati ya mitume 12 amekubali vipande vya fedha...
Nahitaji accounting software, business software mbalimbali na Tax software hasa ya VAT Tanzania. Kwa mwenye kujua wapi nitapata na bei zake asaidie.
Eg; Sun system, tally, MYOB,Quick books,Accpac,Lawson etc
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.