CHRISTURKER
JF-Expert Member
- Nov 24, 2012
- 267
- 55
Nahitaji set ya mashine za barkery, wapi naweza pata nzuri za kisasa hapa Dar.Wadau karibuni
Hahaaa! Kaka nipe bana hiyo no yake nihangaike naeKuna mdau wangu m1 alikua anaagiza toka china anaziuza kwa 7m
Ngoja nimtafute nikurushie namba yake uimbe nae nyimbo za Ndala Kasheba