Wanajamvi kiukweli miongoni kwa wabunge walionikera jana ni pamoja na kangi lugola ametumia muda mwingi kuleta mizaha mwisho wake kushindwa kwenda kwenye hoja pia kumpelekea tuhuma zisizo na msingi.
CAG kwani kama huna cha kuongea si bora uwape nafasi wanzako we kweli kuna cord of conduct na...
Huna huja kaka kumbuka kiongozi ni mtumwa wa aliye mchagua kwahiyo watu wanahaki ya kuwajadili viongozi wao pamoja na chama chao.Tatizo watu wa ccm cuf mnatumika sana na huyo zzk pamoja na Mabosi zake wanao mshauri.Kwani nani asiyejua kuwa maamuzi ya kesi ya Zzk yametoka juu pia judge mwenyewe...
So what huyo kafulila ameenda NCCR wakamfukuza uwanachama kwasababu ya usaliti so inaonekana wanakigoma wengi ni ma traitor (wasalit) kwenye siasa kwahiyo bora waendelee na bongo flava na soka tuu mm nasema bora watuondolee huyu snitch ZZK
Wanajamvi ni dhahili kuwa sasa imefika kipindi suala la zzk liwekwe kapuuni then tuendele na mambo mengine ya msingi coz ipo wazi tunakaa humu ndani tunabishana na vijana wa lumumba kwa mambo yasiyo na mashiko.
Mfano 1:huwezi sema zzk ni maarufu kuriko CDM.if yeye ni maarufu basi aanzishe chama...
Wanajamvi naombeni msaada wa reseach proposal kwaajili ya shule ni muhimu sana ikiwesekana kabda ya tarehe 20/12 niwe nshaipa kwa soft copy nitashukuru sana kwa mchango wenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.