Search results

  1. trezguet

    Maswi: Siwezi Kuwa Mbuzi Wa Kafara. Wezi Wakuu Wajitayarishie Kihama !

    Ndo hivyo akomae kama msabaha alivyokomaa enzi za Richmond maana huu umekuwa utaratibu mpya wa wezi wadogo kutolewa kafara na wezi vigogo
  2. trezguet

    Yaliyojiri Bungeni: Ijumaa, 28 Novemba 2014 (Hatma ya Sakata la Tegeta Escrow Account)

    Wanajamvi kiukweli miongoni kwa wabunge walionikera jana ni pamoja na kangi lugola ametumia muda mwingi kuleta mizaha mwisho wake kushindwa kwenda kwenye hoja pia kumpelekea tuhuma zisizo na msingi. CAG kwani kama huna cha kuongea si bora uwape nafasi wanzako we kweli kuna cord of conduct na...
  3. trezguet

    Mbowe kuwania tena uenyekiti CHADEMA

    Wewe na yeye nani hana hoja sasa huo ndo tunaoita usinichi jomba
  4. trezguet

    Mwanza ni NGOME ya CHADEMA, VIongozi halali wa CHADEMA wanakaribishwa MCHANA na USIKU

    Huna huja kaka kumbuka kiongozi ni mtumwa wa aliye mchagua kwahiyo watu wanahaki ya kuwajadili viongozi wao pamoja na chama chao.Tatizo watu wa ccm cuf mnatumika sana na huyo zzk pamoja na Mabosi zake wanao mshauri.Kwani nani asiyejua kuwa maamuzi ya kesi ya Zzk yametoka juu pia judge mwenyewe...
  5. trezguet

    Rev Msigwa: CHADEMA imeongeza thamani ya wapiga kura

    Mh Rev Msigwa ni hazina ya taifa
  6. trezguet

    Askofu na Sheikh Waapa,Kwaajili ya Zitto Tutapiga Goti na Kufunga Kwa Nguvu Zote

    We ni kijana unayetumia akili nyingi sana mr Ben saanane
  7. trezguet

    Mwigulu: Sijawahi kuwasiliana na Dr. Emmanuel Nchimbi kwa e-mail tangu nizaliwe

    Mwigulu mbona vitisho sasa polisi lazima muwe makini na mwigulu anaweza kusababisha amani ya nchi hii ikapotea huyu jamaa ni gaidi
  8. trezguet

    Now ifike kipindi tuachane na suala la ZZK

    Brother hujaeleweka huna logic ww
  9. trezguet

    Now ifike kipindi tuachane na suala la ZZK

    So what huyo kafulila ameenda NCCR wakamfukuza uwanachama kwasababu ya usaliti so inaonekana wanakigoma wengi ni ma traitor (wasalit) kwenye siasa kwahiyo bora waendelee na bongo flava na soka tuu mm nasema bora watuondolee huyu snitch ZZK
  10. trezguet

    Now ifike kipindi tuachane na suala la ZZK

    Wanajamvi ni dhahili kuwa sasa imefika kipindi suala la zzk liwekwe kapuuni then tuendele na mambo mengine ya msingi coz ipo wazi tunakaa humu ndani tunabishana na vijana wa lumumba kwa mambo yasiyo na mashiko. Mfano 1:huwezi sema zzk ni maarufu kuriko CDM.if yeye ni maarufu basi aanzishe chama...
  11. trezguet

    Tumshauri Zitto...

    Umetisha kaka we ni mkomavu sana katika kuelewa mambo pia na kufafanua
  12. trezguet

    Waziri Kagasheki ajiuzulu; David Mathayo, Nchimbi na Nahodha watimuliwa na Rais Kikwete!

    Bunge limewaka leo hakika huu sio upepo hiki ni kimbunga lazima kiende na mawizili zaid ya wawili
  13. trezguet

    Msaada nahitaji research proposal

    Wanajamvi naombeni msaada wa reseach proposal kwaajili ya shule ni muhimu sana ikiwesekana kabda ya tarehe 20/12 niwe nshaipa kwa soft copy nitashukuru sana kwa mchango wenu
  14. trezguet

    Msaada kwa wale wenye report proposal

    Wadau wale walio na research proposal yeyote nzuri kwaajili ya shule nahitaji msaada kama wanaweza kunitumia soft copy ni muhimu sana
  15. trezguet

    Kweli CHADEMA kimenuka! ITV hawajaripoti toka Kigoma!

    Dah kweli mtu kama huyu unaweza kusema IQ yake ipo vzur kwel
  16. trezguet

    Top Universities in Tanzania 2013 List of top universities in Tanzania, United Republic

    Mwanangu acha tuu kweli saut duh basi hiyo source ni magazeti ya udaku
  17. trezguet

    Top Universities in Tanzania 2013 List of top universities in Tanzania, United Republic

    Hii ni unafiki haiwezekan kabisa hadi sauti ipo juu ya udom kiukweli hiyo rank ni ugongwe au ubora wa elimu
Back
Top Bottom