trezguet
Member
- Oct 21, 2012
- 33
- 4
Wanajamvi ni dhahili kuwa sasa imefika kipindi suala la zzk liwekwe kapuuni then tuendele na mambo mengine ya msingi coz ipo wazi tunakaa humu ndani tunabishana na vijana wa lumumba kwa mambo yasiyo na mashiko.
Mfano 1:huwezi sema zzk ni maarufu kuriko CDM.if yeye ni maarufu basi aanzishe chama chake.
2:mfano tumeuona kwa akina hamad rashid wa CUF
So no way out we need kuwaacha hao.
Mfano 1:huwezi sema zzk ni maarufu kuriko CDM.if yeye ni maarufu basi aanzishe chama chake.
2:mfano tumeuona kwa akina hamad rashid wa CUF
So no way out we need kuwaacha hao.