Hbar zenu wana jamvi.......
....
....
...........baada ya kimya kirefu nimepata tetesi kuwa kuna wadada wengi humu wako sing;le na wamejiandikisha kwa erickb52 mwenyekiti mpinduaji.
Nikuombe majina hayo kwenye makundi tofauti...
kundi la kwanza;Majina ya wadada wajane
kundi la pili;Majina ya wadada walio pewa talaka
kundi la tatu;Majina ya wadada waliosingle kabisa yaani bado wabichi ha ah ah aha ,,,,,,.......
msimu huu wa sikuuu lazima nipate wa kula nae bata na kuku....
ni matumaini yangu ombi langu litapewa uzito.
mwambie aniwekee hapa nichague mwenyewe!!
ha ha ha... Lady doctor, nilisahau kukwambia kuwa mimi na KOKUTONA tushapeleka maombi kwa Baba V kuwa tunataka kujiunga kwenye chama cha wakubwa....
cc Passion Lady
My wii wako kasafiri kaniacha mwenyewe.. ila Passion Lady yupo ananipa kampani..
Hahahaha brother Brother.....kwa Passion Lady ana cover the gap....
babe marry chrismas,mic u!!
hujanionea Ruttashobolwa wangu pande hizi?
Merry Xmass & happy boxin day beib.. Ruttashobolwa amekutana na kokushubirwa kanyigo huko.. Kagoma kurudi mjini..
hahahaaa!!huyo kokushubirwa lazima
nimzibe kikojoleo,hajui mume wa mtu sumu?
ila kwa kua nipo na ww wani peti2 sina shida kabisa!!
we Eli79 bado nakumiliki
kama wataka kuoa unipe mshiko
wa kutosha nikuruhusu,bado nakupenda ujue
pacha Lady doctor eli79 bado ni wangu atajibeba!!
we Eli79 bado nakumiliki
kama wataka kuoa unipe mshiko
wa kutosha nikuruhusu,bado nakupenda ujue
pacha Lady doctor eli79 bado ni wangu atajibeba!!
​umeona eeeee,mambo lakin babe soso?!!Ucijali beib.. nipo mie king'amuzi cha DSTV mwisho wa mchezo.. achana na Eli79.. startimes imepitwa hiyo..
hahahaaa!!huyo kokushubirwa lazima
nimzibe kikojoleo,hajui mume wa mtu sumu?
ila kwa kua nipo na ww wani peti2 sina shida kabisa!!
umeona eenh...........ni sumu tena pollonium! sasa kabla sijapanga safari ya kurudi embu jiengue mwenyewe kwa babe wangu!
umeona eenh...........ni sumu tena pollonium! sasa kabla sijapanga safari ya kurudi embu jiengue mwenyewe kwa babe wangu!