Ametamka wazi kujihuzulu jioni hii Bungeni
Lete maneno mkuu,maana wengine tupo mbali kidogo!David Mathayo anaongea nini?
David Mathayo anaongea nini?
Ameongea kwa uchungu na kuongeza kuwa rais alimteua kwa pleasure.Ameumia sana na mwisho ameamua ku-step down.Amekuwa mzalendo
Huyu hawezi, mbishi.
Huyu anajitahidi kukwepa na kujisafisha kabla ya kujiuzulu ili abaki akiwa msafi kwa mawazo yake.
Kagasheki amehujumiwa tu kwa sababu ya kupambana na majangiriWaziri wa Maliasiri na utalii atangaza kujiuzuru rasmi akiwa ndani ya bunge.
Asema yeye ni mtu mzima na kasikia mengi, kateuliwa na rais kwa matakwa ya rais na hakuomba hivyo ana resign.
Mbona kama anataka kukwepa?