Wewe bwana ni mzima? Kutuambia CHADEMA Mwanza yote ni Zito ni wehu wa hali ya juu na kututukana. Sisi ni wanachama na wapenzi wa CHADEMA siyo mtu, wewe kama unamhusudu Zito, ni wewe na familia yako. Mtu mwenye akili timamu hawezi kumhusudu.mtu. Sisi tunakipenda chama na viongozi wote halali wa chama kwa mamlaka yao waliyopewa na katiba ya chama. Zito ametangazwa na mamlaka halali za chama kuwa ni mamluki, atabakia hivyo popote atakapoenda iwe Mwanza au Songea au Mbeya n.k.
Tumia akili unapotoa maoni, Mwanza hatutaki kutukanwa kuwa tunamhusudu msaliti Zito. Akisafishwa na mamlaka halali za chama tutampokea lakini kwa sasa ametangazwa kuwa ni msaliti, na msaliti hawezi kushikamana na sisi wazalendo wa Mwanza.
kamanda achana na hii misukule ya Lumumba iliyovia akili,inadhani mwanza ni mwandiga!