aiseee.Okay.Kwa hio ndio maana lilijengwa kwenye road reserve?
libomolewe tu.Lowasa Fisadi sana.Nilikuwa najiuliza ..how come serikali ijenge kwenye road reserve..kumbe ni mwizi Lowasa
wabomoe haraka sana
Kwa hiyo Jengo la Idara ya Maji sio La Serikali?
Lowassa naye anahuka?
Kuhusu makinikia
Uchenjuaji wa dhahabu hapo buly huusisha madini ya Copper; haya huwa yana sifa ya kutumia Cyanide ( chemikali inayonasa dhahabu) kwa haraka zaidi kuliko dhahabu yenyewe. Hivyo Hiyo Shaba hutolewa mapema ktk process iitwayo flotation. Utoaji huu mzigo wake ndo unaitwa Makinikia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.