Pamoja na hizo lakini hii siku ya 7 ni maalumu mno maana kati ya siku zote Saba siku ya 7 ya juma ni siku pekee iliyobarikiwa na kutakaswa na pekee Mungu aloitaka tuikumbuke kutoka 20:8Si kila kitu. Na umetizama upande mmoja tu uliopo. Hujaanalia kwa jirani. Umesahau mke mmoja, sio saba. Wake wanne na sio Saba Siku ya kwanza ya juma na si siku ya saba. Mitume 12 na si saba. Kufufuka siku ya tatu na si saba. Ulichofanya wewe umechambua vile vyenye siku saba tu
Sio kweli japo imewapasa kufanya hivyo ila hawafanyi maana wakristo wengi husali siku ya kwanza ya juma ambayo ni jumapiliWakristu wanasali siku ya 7
Haki ya Mungu....we ni kiboko aisee, nadhani una hamu sana ya kujua ladha ya Puchi la kigeniVipi Mkuu, Yule albino wetu anaendeleaje? Ulifanikiwa?
Namba 6 ni upungufu ndio maana kuna mhuri wa mnyama wenye namba 666 na watakaopigwa huo mhuri hawataenda mbinguni maana watakuwa kwa kukosa utii wameikataa amri ya Mungu na kushika amri za wanadamu hivyo wamepungua ila mhuri wa Mungu ni 777 ikiwakilisha utimilifu ambao huambatana na siku ya 7 aliyopumzika Mungu akaibariki na kuitakasahalafu baada ya hapo watueleweshe pia kwanini shetani nae anahusishwa sana na namba 6?
Pua na mdomoYataje mkuu
Hadi wewe umeshushwa Cheo!Haki ya Mungu....we ni kiboko aisee, nadhani una hamu sana ya kujua ladha ya Puchi la kigeni
Na pia wapo wanaosema "The number seven was said to be 'perfect' because it contained the numbers 3 and 4 — 3 and 4, the triangle and the square, the perfect figures — and was itself indivisible and could not be created by multiplication. "And today we have "seventh day Adventist Church" a most perfect one
mhhhNamba 6 ni upungufu ndio maana kuna mhuri wa mnyama wenye namba 666 na watakaopigwa huo mhuri hawataenda mbinguni maana watakuwa kwa kukosa utii wameikataa amri ya Mungu na kushika amri za wanadamu hivyo wamepungua ila mhuri wa Mungu ni 777 ikiwakilisha utimilifu ambao huambatana na siku ya 7 aliyopumzika Mungu akaibariki na kuitakasa
utaisoma nambaSasa kama shetani anahusishwa na namba 6 halafu Mungu namba 7 hiyo mbona inanichanganya mwenzenu, maana mi nilizaliwa tar 6 mwezi wa 7.......kwa hiyo hapo ina maanisha nina uhusiano nao wote!?
Ndivyo ilivyo kama una swali kuwa muwazi kuguna nashindwa kukuelewa imhhh
Hahahahaaaaaaa!! Daaah mkuu#Mlatinoh# umenichekesha sana!!oya hapo kwny matundu 7 kwa binadamu mbna nahesabu nakuta yapo sita, tundu lipi nimelisahau.