Bernhardt Paul Mlisu
Member
- May 15, 2016
- 13
- 2
Kweli wanakurupuka tuUnaweza kuwa unaandika unajiona unatoa nondo kumbe unaonyesha ujinga wako hivi unajua maana ya ICD? Ukiona jina Azzam tu unakurupuka kuchangia mada.
Kweli wanakurupuka tuUnaweza kuwa unaandika unajiona unatoa nondo kumbe unaonyesha ujinga wako hivi unajua maana ya ICD? Ukiona jina Azzam tu unakurupuka kuchangia mada.
inland container depot ( bandari ya nchi kavu)jamani naomba kujua kirefu cha ICD
Patamu sana hapo...
Tukisema twende kihalali halali, matajiri wengi wa kiafrika watarudi juu ya mawe...
Waendelee kubanwa tu.
Hayo ni mawazo mgando hakuna tajiri atakaerudi juu ya mawe kama anasifa za kuitwa tajiri tatizo lenu ni pale mtu akiweza kufadhili timu ya mpira basi mnamwita tajiriPatamu sana hapo...
Tukisema twende kihalali halali, matajiri wengi wa kiafrika watarudi juu ya mawe...
Waendelee kubanwa tu.
Na tukisema twende kihalali halali masakini wengi watazidi kudididmiaPatamu sana hapo...
Tukisema twende kihalali halali, matajiri wengi wa kiafrika watarudi juu ya mawe...
Waendelee kubanwa tu.
Pile sana Kwa kukosa uelewa
sawa sawaHawa walisomewa alama za nyakati, ila ukweli utabaki kua kweli daima.
Katika dunia hii Mungu ameumba utajiri na umasikini na vile vile amejaalia mtu kupanda kimaisha na kushuka na vile vile amejaalia mtu kupanda kimaisha bila kushuka hadi kufaPatamu sana hapo...
Tukisema twende kihalali halali, matajiri wengi wa kiafrika watarudi juu ya mawe...
Waendelee kubanwa tu.
umeambiwa wafanyabiashara na sio mfanyabiashara. na hakuna mzigo hata moja wa Azam ambao imo katika list wa kupita bila ya kodi. Ni wafanyakazi wa Azam ICD pamoja na wafanyakazi wa TRA ndio waliopitisha makontena ya wafanyabiashara bila ya kulipa kodi ili wale wao yale madolammhh ndo maana timu ya Azam fc imekuwa mdebwedo kumbe bosi wao kabanwa!
umeambiwa wafanyabiashara na sio mfanyabiashara. na hakuna mzigo hata moja wa Azam ambao imo katika list wa kupita bila ya kodi. Ni wafanyakazi wa Azam ICD pamoja na wafanyakazi wa TRA ndio waliopitisha makontena ya wafanyabiashara bila ya kulipa kodi ili wale wao yale madola
kumbuka homeshopping centre alikuwa anaconsolidate loose cargo za wafanyabiashara mbalimbali na kusafirisha na kuja kuclear mzigo kabla hajakabidhi kwa mteja wake.Alikuwa anatoa mizigo, si kwa kutumia kampuni yake. Alikuwa anatumia makampuni ya watu wengine.
Ndio maana wanatumia njia hii ya kutaifisha mali ili wafikie lengo. Nchi imekauka.Ni one step forward but several steps backward katika ukusanyaji wa mapato katika bandari ambayo mizigo imepungua mara dufu
Na tukisema twende kihalali halali masakini wengi watazidi kudididmia
Bakharesa afikishwe mahakamani kwa kosa gani?Safi sana Magufuli, sasa baada ya kufilisi hizi Mali, Bakhresa na watu wake wafikishwe mahakamani
Bakharesa afikishwe mahakamani kwa kosa gani?Safi sana Magufuli, sasa baada ya kufilisi hizi Mali, Bakhresa na watu wake wafikishwe mahakamani