wallusm
Member
- Sep 29, 2012
- 31
- 26
Kuhusu makinikiaZungumzia na makinikia kidogo tupate kuyafahamu
Uchenjuaji wa dhahabu hapo buly huusisha madini ya Copper; haya huwa yana sifa ya kutumia Cyanide ( chemikali inayonasa dhahabu) kwa haraka zaidi kuliko dhahabu yenyewe. Hivyo Hiyo Shaba hutolewa mapema ktk process iitwayo flotation. Utoaji huu mzigo wake ndo unaitwa Makinikia ndani yake kuna madini Copper; dhahabu ; Silver; Lead ; Zinc ; Iron na madini mengine kwa kiasi tofauti tofauti.
Mabaki yanyotokana na uchenjuaji huu humaliziwa kwa process ijulikanayo kama CIL Hapo ndo huja kupatikana vitofali ambavyo ilikuwa mara nyingi alhamisi vinarushwa n helkopter