Mimi ni mmoja wa watu wanaoamini uwezo wa kiuongozi alionao lowassa tokea zamani sana pamoja na kukataliwa na Baba wa Taifa. Uwezo wa Edward Ngoyai Lowassa katika uongozi wan chi hii uko dhahiri katika mambo mengi tu aliyoyasimamia kuanzia kwenye wizara alizozisimamia hadi alipokuwa waziri mkuu...
Nimenunua decoder yenu tar 15 jan, eti jana mmenikatia service wakati mwezi haujafika. halafu inaonekana hata kukata kwenu mnakata manually maana kwanza mnazima service kwa muda mrefu. kwani hamna program ya kuweza kumkatia mtu tarehe yake ya kulipia ikifika?
sasa kwa mpango wenu huu silipii...
Kwa muda mrefu CCM imekuwa ikitumia 'ujinga' kama tatizo la kimkakati la kuendelea kubaki madarakani. Ni ukweli usiopingika kuwa sababu ya ujinga unaotokana na umasikini kukithiri katika sehemu kubwa ya jamii, hata wakati wa kampeni za uchaguzi CCM imekuwa ikifanya jitihada za makusudi...
Nilikuwa namuangalia Dr Dalali Kafumu yule mwanasiasa na msomi aliyekuwa kamishana wa madini na mbunge wa igunga kabla ya kuvuliwa na mahakama. Alichonishangaza ni kuyaelewa matatizo ya nchi hii kwa ufasaha kabisa kuanzia tunavyoporwa madini hadi tatizo la rushwa. Tena ameamua kuandika hadi...
Wakubwa Shikamoniiiiii
Juzi kuamkia jana nilikuwa na hofu ya mwisho wa dunia, nikaamua nijilipue kwa kukamata sistaduu mmoja wa mtaani kwetu ambaye nilimuweka pending kitambo, sasa nikaenda nae viwanja halafu karibia na saa 6 usiku nikaenda nae lodge, kufika lodge tukachukua chumba na kuagiza...
Nimeshangaa kukuta hadi kwenye king'amuzi cha DSTV wameadika 7 days to go pale juu kulia. Ina maana hao dstv nao wanaamini mwisho wa dunia ni tar. 21/12. mbona wanatutumia msg tukalipie hadi mwakani?
muhudumu wa lodge anahitajika
nafasi ni reception.
atakuwa analala hapo hapo lodge na kula hapohapo
wa kutoka mikoani maana wa hapa dar es salaam ruhusa ni nyingi hatutaki.
mshahara ni sh. 100,000 kwa mwezi.
jinsi ya kuapply tuma picha yako ukiwa unaonekana mwili mzima kwenye MP yangu na...
vIPO VYUMBA 12, VILIJENGWA KWA AJILI YA LODGE, MWENYE LODGE KAGAIRI KWA SABABU ANAONDOKA KWENDA NJE YA NCHI HIVYO HAWEZI KUISIMAMIA, AMEAMUA KUPANGISHA, VYUMBA VIPO NDANI YA UKUTA NA ENEO NI KUBWA, KUNA SEHEMU YA KUPUMZIKIA AMBAYO ILIJENGWA KWAAJILI YA BAR.
IPO UBUNGO KIBANGU, BARABARA YA...
Nyerere alikuwa anajua katiba haijakaa vizuri inampa madaraka makubwa raisi kiasi anaweza kuwa dictator lakini hakutaka kubadilisha katiba ambayo ingewapa madaraka wananchi ili raisi yoyote atakayeingia asiwe dictator.
Nyerere kwa kuiacha katiba ambayo yeye mwenyewe alijuwa ni ya kidictator...
Thia question has been asked somewhere and whoever answers correct will get US$5,000, can anyone who knows this help me. So far I have got three names, somebody jefferson, Jim carter and G.W. Bush sr. I need this money guys quick please.
Wazee nimepata taarifa kutoka mbeya ambako waheshimiwa walikuwa wanatoa sadaka ya shukrani kwa mungu kutokana na maswahibu yaliyowakuta. Walikwenda na riport za ugonjwa wao uliokuwa unawasumbua ambazo hizo riport ndizo walizoziwasilisha selikalini, Kifupi ni kwamba waliwaonyesha watu wachache...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.