Cresta GX 100 on sale 5m

Cresta GX 100 on sale 5m

DARKMAN

Senior Member
Joined
Aug 23, 2012
Posts
122
Reaction score
86
Gari ipo sokoni
cresta gx 100, engine vvt i,
mwenye nayo ana gari nyingine hivyo anaiuza hii
anayehitaji awasiliane na mimi 0757 859012
 

Attachments

  • IMG_20130124_170345.jpg
    IMG_20130124_170345.jpg
    304.7 KB · Views: 243
  • IMG_20130124_170415.jpg
    IMG_20130124_170415.jpg
    303.6 KB · Views: 181
  • IMG_20130124_170505.jpg
    IMG_20130124_170505.jpg
    393.8 KB · Views: 164
tunahitaji watu kama nyie,hizi ndio biashara za kisasa,unaweka picha watu wanaona si wengine wanatuuzia mbuzi kwa gunia,hongera
 
Gari ipo sokoni
cresta gx 100, engine vvt i,
mwenye nayo ana gari nyingine hivyo anaiuza hii
anayehitaji awasiliane na mimi 0757 859012


MMMMh milini tano! kwa nini? bei ndogo sana inanipa wac wac
 
Gari lina umri gani na injini ya cc ngapi?
 
Kama unania kweli ya kutaka kulinunua si unaenda kulikagua na ukiwa FUNDI unayemwamini. mawasiliano si ameweka hapo?
 
Hizi ni ~2000cc, na mileage itakuwa imeenda sana nafikiri bei halali kwa ARJ ni Tshs 3.0-3.5 kama haina ugonjwa wa kudumu.
 
we kama unahitaji gari tuwasiliane ulione gari, njoo na fundi wako kama hujiamini. mimi ndio mwenye gari na naliuza kwa kuwa nina gari nyingine na hili limekaa tu, sasa sitaki kulipia leseni zake wakati silitumii. kama unaona nakubambika basi nenda ukanunue lumumba au magomeni kwenye magari yaliyogandishwa na super glue ndio utaielewa. gari iko bomba kila kitu kinafanyakazi, ac utafikiri upo norway,
kuna siku niliwapa watu lift asubuhi wakaomba washuke kwenye mataa waotee jua kwa jinsi ac ilivyokuwa inachapa
 
Hizi ni ~2000cc, na mileage itakuwa imeenda sana nafikiri bei halali kwa ARJ ni Tshs 3.0-3.5 kama haina ugonjwa wa kudumu.

Ngoja nikufahamishe siku hizi ukinunua gari kwa kuangalia milage itakula kwako, labda uliangalie likishashuka bandarini, lakini likififa yard milage zinabadilishwa sana, nenda magomeni au lumumba kaangalie milage ndio utajua, utanunua gari limebandikwa na super glue. mimi siyo dalali, gari ni langu na lina jina langu, naliuza kwa kuwa sitalitumiii na sitaki kulipia leseni zake kwa kuwa silitumii limepaki tu, ni afadhali ununue gari kwa mtu direct kuliko kwa dalali.
 
we kama unahitaji gari tuwasiliane ulione gari, njoo na fundi wako kama hujiamini. mimi ndio mwenye gari na naliuza kwa kuwa nina gari nyingine na hili limekaa tu, sasa sitaki kulipia leseni zake wakati silitumii. kama unaona nakubambika basi nenda ukanunue lumumba au magomeni kwenye magari yaliyogandishwa na super glue ndio utaielewa. gari iko bomba kila kitu kinafanyakazi, ac utafikiri upo norway,
kuna siku niliwapa watu lift asubuhi wakaomba washuke kwenye mataa waotee jua kwa jinsi ac ilivyokuwa inachapa

Hahahahhaaaaaa.... Kweli wewe dalali mzoefu unajua kupamba mpaka unaharibu!
 
we kama unahitaji gari tuwasiliane ulione gari, njoo na fundi wako kama hujiamini. mimi ndio mwenye gari na naliuza kwa kuwa nina gari nyingine na hili limekaa tu, sasa sitaki kulipia leseni zake wakati silitumii. kama unaona nakubambika basi nenda ukanunue lumumba au magomeni kwenye magari yaliyogandishwa na super glue ndio utaielewa. gari iko bomba kila kitu kinafanyakazi, ac utafikiri upo norway,
kuna siku niliwapa watu lift asubuhi wakaomba washuke kwenye mataa waotee jua kwa jinsi ac ilivyokuwa inachapa



Ha ha haaaaaa!Haya Mkuu tumekubali duh!!
 
Back
Top Bottom