Mimi ni mmoja wa watu wanaoamini uwezo wa kiuongozi alionao lowassa tokea zamani sana pamoja na kukataliwa na Baba wa Taifa. Uwezo wa Edward Ngoyai Lowassa katika uongozi wan chi hii uko dhahiri katika mambo mengi tu aliyoyasimamia kuanzia kwenye wizara alizozisimamia hadi alipokuwa waziri mkuu. Tena kama kungekuwa na fursa ya kuwalinganisha Kikwete na Lowassa mwaka 2005 katika mtandao wao nani awe raisi basi mimi ningemchagua Lowassa kwa kuwa alikuwa ana proven record nzuri kuliko Kikwete mwaka 2005.
Ukiongelea intergrity wakati wa uchaguzi wa 2005 kati ya lowasa na kikwete, Lowassa alikuwa na tuhuma za kuwa na utajiri usiolingana na kipato chake kama mtumishi wa uma ambazo zilikuwa hazina ushahidi wa wazi wakati Kikwete alikuwa na kashfa ya IPTL ambayo aliisaini akiwa waziri wa nishati na madini. Kashfa ya Richmond ambayo kikwete aliishikia bango kumwadhibu Lowassa ni replica ya Richmond. Mkataba wa IPTL ulisainiwa IPTL ikiwa ni briefcase company ndio wakaenta Malaysia kuwatafuta Wartisila wakaingia nao mkataba wa kuja kufunga mtambo wa megawatt 100 pale tegeta. Hata ukiangalia wanavyouza umeme tanesco ni kwamba watisila akishaingiza umeme kwenye gridi ya tanesco, mwisho wa mwezi anaandaa invoice anawapa IPTL ikiwa na price ambayo wamekubaliana na IPTL, halafu IPTL wanaandaa invoice yenye rate nyingine pamoja nay ale madude yao ya capacity charges ambayo wanaipeleka tanesco. Hata ukienda pale tegeta ofisi za IPTL utawakuta watatu tu, mkurugenzi Mageshi, Finance manager GIre na secretary. Kwa hiyo huu uzoefu wa kupiga dili za aina hii ni wa Kikwete alianza nao na IPTL akataka kupiga na Richmond
Kosa kubwa alilolifanya Lowassa la kutuletea Kikwete kuwa raisi ambalo limetugharimu watanzania kwa muda wa miaka 10 ni tosha kumuadhibu lowassa kutoiona ikulu mpaka kifo chake yeye na wanafamilia wake. Lowassa na mwnzako Rostamu mlituletea Kikwete, Rostamu ameshakimbia nchi, Lowassa hana kwa kukimbilia kwa kuwa ni wa hapahapa, Nakuhakikishia Lowassa katika ukoo wako hakuna mtu atakayekuja kuwa kiongozi wa nchi hii kutoka katika familia yako.
Ukiongelea intergrity wakati wa uchaguzi wa 2005 kati ya lowasa na kikwete, Lowassa alikuwa na tuhuma za kuwa na utajiri usiolingana na kipato chake kama mtumishi wa uma ambazo zilikuwa hazina ushahidi wa wazi wakati Kikwete alikuwa na kashfa ya IPTL ambayo aliisaini akiwa waziri wa nishati na madini. Kashfa ya Richmond ambayo kikwete aliishikia bango kumwadhibu Lowassa ni replica ya Richmond. Mkataba wa IPTL ulisainiwa IPTL ikiwa ni briefcase company ndio wakaenta Malaysia kuwatafuta Wartisila wakaingia nao mkataba wa kuja kufunga mtambo wa megawatt 100 pale tegeta. Hata ukiangalia wanavyouza umeme tanesco ni kwamba watisila akishaingiza umeme kwenye gridi ya tanesco, mwisho wa mwezi anaandaa invoice anawapa IPTL ikiwa na price ambayo wamekubaliana na IPTL, halafu IPTL wanaandaa invoice yenye rate nyingine pamoja nay ale madude yao ya capacity charges ambayo wanaipeleka tanesco. Hata ukienda pale tegeta ofisi za IPTL utawakuta watatu tu, mkurugenzi Mageshi, Finance manager GIre na secretary. Kwa hiyo huu uzoefu wa kupiga dili za aina hii ni wa Kikwete alianza nao na IPTL akataka kupiga na Richmond
Kosa kubwa alilolifanya Lowassa la kutuletea Kikwete kuwa raisi ambalo limetugharimu watanzania kwa muda wa miaka 10 ni tosha kumuadhibu lowassa kutoiona ikulu mpaka kifo chake yeye na wanafamilia wake. Lowassa na mwnzako Rostamu mlituletea Kikwete, Rostamu ameshakimbia nchi, Lowassa hana kwa kukimbilia kwa kuwa ni wa hapahapa, Nakuhakikishia Lowassa katika ukoo wako hakuna mtu atakayekuja kuwa kiongozi wa nchi hii kutoka katika familia yako.