KWELI Threads

  • Article Article
Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza anuai mpya ya COVID-19 iitwayo EG.5 - iliyopewa jina lisilo rasmi "Eris" huku likishauri kila nchi kuchukua hatua mahsusi za kufuatilia uwepo wake...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
  • Article Article
Kizza Besigye na Yoweri Museveni walikuwa marafiki walioshibana wakati wa Vita ya Msituni Uganda kumuondoa Milton Obote miaka ya 1980, na Dkt. Besigye aliwahi kuwa daktari binafsi wa Museveni na...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
  • Article Article
Kuna kitu kinanichanganya sana juu ya haya maziwa mbadala (Formula), je ni kweli yapo sawa tu na ya mama? Yaani mtoto aliyetumia Formula na aliyenyonya kwa mama yake hakuna aliyemzidi mwenzake...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
  • Article Article
Kuna maeneo fulani nimepita ya mkoa wa dodoma wilayani huko; nimekuta kuna msururu mrefu sana wa vyombo vya moto kwenye moja ya petrol station. Nikajaribu kuuliza kuna shida gani hapa? Wenyeji...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
  • Article Article
Aloo, hawa mbu wa Ifakara mbona kama siwaelewi hivi? Nimeweka neti wako nje ila bado wanang'ata, hapo miguu haijagusa neti ni kama wanatumia wireless. Nimeuliza wenyeji wakasema kuwa mbu hawa ni...
9 Reactions
39 Replies
8K Views
  • Article Article
Licha ya kuwa Mazoezi husaidia kujenga na kulinda Afya, kuna masuala muhimu ya kuzingatia kabla ya kuanza mazoezi ikiwemo kuchagua eneo la kufanyia mazoezi ambalo litakuwa salama kimiundombinu na...
2 Reactions
3 Replies
3K Views
  • Article Article
Graca Machel ni mwanamke anayetajwa kuwa na historia ya kuolewa na marais wa nchi mbili tofauti za Msumbiji na Afrika Kusini. Madai haya yanafafanua zaidi kuwa huyu ni mwanamke pekee aliyewahi...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
  • Article Article
Hoja ya Serikali ya Tanzania kufanya Makubaliano ya awali na kampuni ya DP World ya Dubai kwenye kuendeleza bandari ya Dar Es Salaam imezua mambo mengi yanayojadiliwa sana. Mojawapo ya Mambo hayo...
2 Reactions
14 Replies
4K Views
  • Article Article
Wakuu kinachosemwa juu ya sumu kwenye maharage mekundu ni kweli? Nimeona machapisho mtandaoni kuwa maharage mekundu ni hatari kwa afya zetu nikapata hofu ukizingatia maharage ndio mboga kuu kwetu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
  • Article Article
Wakuu, Tulikuwa tunapiga stori kijiweni wakasema kama huna kovu la ndui kwenye bega la mkono wa kulia basi ujue chanjo hiyo haijafanya kazi. Kwahiyo sisi ambao hatuna hilo kovu ndio inamaanisha...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
  • Article Article
Kuna wakati jengo la Burj Khalifa lilisambaa mtandaoni likiwa na bendera ya Tanzania na Picha ya Rais, lakini kwa siku za hivi karibuni nimeona tena mitandaoni kuna picha za bendera za majirani...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
  • Article Article
Nimekuwa nikisikia kutoka kwa watu mbalimbali kuwa pindi hutumiapo dawa zozote basi itakupaswa usitumie maziwa aina yoyote kwasababu matumizi ya maziwa hupunguza au kuondoa kabisa ufanisi wa dawa...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
  • Article Article
Salaam Wakuu, Leo mtandaoni nimeona dokezo likidai Cleopa Msuya katika historia ya Utawala wa Nchi yetu amewahi kushikilia vyeo vya Waziri Mkuu na Makamu wa Rais kwa wakati mmoja. Kuna ukweli...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
  • Article Article
Nimepokea hivi karibuni voice note kutoka kwa Mtanzania anayeishi Afrika Kusini. Sauti hiyo ya Dudula Master ambaye ni mhamasishaji mkubwa wa Xhenophobia ametoa onyo dhidi ya wageni wote kuondoka...
3 Reactions
11 Replies
3K Views
  • Article Article
Mkoa wa Iringa umekumbwa na sintofahamu kubwa baada ya kuenea kwa taarifa zinazodai kuwa baadhi ya Vijiji vya kwenye Mkoa huo vimevamiwa na Simba wanaokula mifugo na kushambulia watu. Baadhi ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Article Article
Tanzania imeingia mkataba na Falme za Kiarabu kuzalisha Umeme jadilifu megawatt 2000. Kukamilika kwa miradi hii kutapelekea Bei ya Umeme kupungua sana.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
  • Article Article
Hivi ni kweli kuwa kula chakula kingi wakati wa usiku pamoja na kulala chali huongeza nafasi ya kukabwa na majinamizi shingoni?
4 Reactions
15 Replies
4K Views
  • Article Article
Maji ya nazi (Madafu) ni kinywaji maarufu sana mtaani. Ni maji hanayopatikana kwenye nazi changa (Cocos nucifera) ambayo hubadilika kuwa tui baada ya kukomaa kwa nazi. Kumekuwepo na madai kuwa...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
  • Article Article
Urusi yaanza mazoezi ya kutumia makombora ya nyuklia ni saa chache baada USA kukubali kuipatia Ukraine makombora ya masafa marefu.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
  • Article Article
Je, ni kweli maji ya mlima Meru husababisha meno ya watu wa Arusha kuwa meusi kwasababu ya kuwa na asili ya Volkano?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom